Most of them, 85% women ni hasara tupu, tuangalie tangia enzi na enzi mwanamke ni balaa, look Adam & Eve, Samson & Delilah, Bill Clinton & Monica Lewinsky, Mandela & Winnie, IMF chief Strauss Khan, wooote hawa wanawake wamewaangusha au kuwachafua so badly na hao ni wanaume wenye kila kitu.
THINGS TO LEARN ABOUT WOMEN:
Tukae nao kwa akili, kuhusu mapenzi akili yao ni moja
woote, wanawake wengi ni viumbe visivyoridhika, fanya ufanyavyo, vyoote, bado umwangalie sana na kumwongoza
daily, muombe Mungu akupe aliye wako kweli, otherwise you as a man be honest with urself na mfunze maisha ya standard yako: wanageuka siku moja na kusahau yoooote mema na kwa miaka kadhaa mliyofanya tena kwa kudanganywa, na nature yao ni KUDANGANYWA,
I am out ...