hao watoto utawapataje?
Kama wanawake wanakusumbua jaribu jinsia yako isiyosumbua.
wenye kazi tena ndiyo wabaya...bora mama wa nyumbani!
i have a friend, mke wake anafanya kazi analipwa abt 2m, but expenses zake huyo mke wake kwa mwenzi ni 2m+!
i dont know why am hating girls much much and so much
kama uliingia moyoni mwangu...! nimejikuta nawachukia ghafla (bwana yesu nisamehe kwa hiili)
Yaan utakuta mwanaume kaangaika sana, kimaisha, wengine mpaka wanapata majeraha makubwa, au wananusurika na vifo wakiahangaikia maisha. mungu si athumani anawajalia hawa waangaikaji vijipesa, vijigari, na hata vinyumba vingi so hawa watu wanakuwa tunasema matajiri.
sasa itatokea siku moja tu huyu mwanaume anasema nataka kuoa then anatafuta mwanamke anamuweka ndani, eti mali zinakuwa za wote wawili..kisa mke wake....
teh teh teh teh nimekaa nimefikiria sana naanza kukubaliana na usemi wanawake wameumbwa kuwaburudisha mwanaume. yaani utake usitake
I guess huo ni ubinafsi,kwani mungu akikujalia wealth regardless umepitia njia zipi basi siyo wewe tu ndo utanufaika, na wengine pia, hata mkeo watoto na ndugu, marafiki wa familia yenu.
Kama unaona siyo fair mkeo kutumia ulichokivuna, i suppose hata wanao wakitumia utakereka. Kama unadhani unamali za kutosha kabla haujaoa na hautaki ziwe mali za familia bali za kwako tu , waone wanasheria wakusaidie, wewe utasema ni vitu gani hautaki viwe considered na mchumba wako nae atasema vyakwake, ila utahaibika utakapo gundua mchumba wako anautajiri kuliko wewe. Baada ya hapo mnafunga ndoa na mnaanza kuchuma upya mali ya Familia. Japo siyo ubinadam kama umekublai kushare maisha basi share kila kitu between you guys. na kama unaona unaonewa kuwa mtafutaji wa familiya mruhusu mkeo atafute ila usimuulize how[/QUOTE
nadhani hujaelewa nilichokuwa namaanisha nilopojenga hoja yangu
mmh umeathirika kisaikolojia ww, unahitaj kbs kupata ushauri.wizi mtupu, nipo hapa nafanya kazi certel yaani nikiwa nawasikia wanawake wa hapa wanavyowasema waume zao,,,mpaka sitamani kumwona mwanamke yeyote mbele yangu...wengine wanawaita waume zao 'wazushi' wanawake kweli mi siwawezi...kwanza wengi mmekaa kipesa pesa tuuu
wizi mtupu, nipo hapa nafanya kazi certel yaani nikiwa nawasikia wanawake wa hapa wanavyowasema waume zao,,,mpaka sitamani kumwona mwanamke yeyote mbele yangu...wengine wanawaita waume zao 'wazushi' wanawake kweli mi siwawezi...kwanza wengi mmekaa kipesa pesa tuuu
Yaan utakuta mwanaume kaangaika sana, kimaisha, wengine mpaka wanapata majeraha makubwa, au wananusurika na vifo wakiahangaikia maisha. mungu si athumani anawajalia hawa waangaikaji vijipesa, vijigari, na hata vinyumba vingi so hawa watu wanakuwa tunasema matajiri.
sasa itatokea siku moja tu huyu mwanaume anasema nataka kuoa then anatafuta mwanamke anamuweka ndani, eti mali zinakuwa za wote wawili..kisa mke wake....
teh teh teh teh nimekaa nimefikiria sana naanza kukubaliana na usemi wanawake wameumbwa kuwaburudisha mwanaume. yaani utake usitake