i dont know why am hating girls much much and so much
Wanaume mmeumbwa kulalamika lalamika tuuu, kulialia tuuu, uvivu sana. Akili kidunchu utapeli mwingi. Lol.
kama uliingia moyoni mwangu...! nimejikuta nawachukia ghafla (bwana yesu nisamehe kwa hiili)
wizi mtupu, nipo hapa nafanya kazi certel yaani nikiwa nawasikia wanawake wa hapa wanavyowasema waume zao,,,mpaka sitamani kumwona mwanamke yeyote mbele yangu...wengine wanawaita waume zao 'wazushi' wanawake kweli mi siwawezi...kwanza wengi mmekaa kipesa pesa tuuu
Just hold on, kameruni ataruhusiwa muda si mrefu.
Mhh!! Eti wanasema we ar equal! We are equal? If we are equal why those girls doesn't make money and then wakawaweka ndani wanaume kama sisi tunavyowafanyia? Hakuna ki2 pumba tupu!
We are equal but not the same!
Always girls mtabaki kulialia tu! Mnalo hilo?
bila mwanamke nani angepiga pambamnh! Tembea uone ndugu yangu mbona kuna wanaume wengi wamewekwa kinyumba na wanawake! Looh! Tena hata usiseme unakuta mwanaume anamkana hata mzazi wake kisa kakolea mapenzi kwa mwanamke haya mnayoyaandika hapa sijui mna hate gals mara pesa nimechuma ni kupunguza frustation zenu hapa Jf but usiku wenyewe mnahaha kutafuta wanawake tena kwa gharama za juu!
hao watoto utawapataje?
tusigombanie wanawake, huo ni urithi wa kwetu tulo achiwa na mababu wa mababu zetu. popote pale umuanapo mwanamke jua ni halali yako mwanaume. kumbe wameumbwa kwa ajili ya watu gani?. Mia