Umefunguliwa lini?Daah yaani hata kuja nyumbani huji siku hizi?
Juzi baby,nilipokuwa Segerea nilikumiss sana,halafu ukame ulinibana mno yaani full ugwadu basi nikawa nashikilia bomba huku stimu zinabamba ,yaani we acha tu.Umefunguliwa lini?
Ulifanyaje mpaka ukafungiwa?Juzi baby,nilipokuwa Segerea nilikumiss sana,halafu ukame ulinibana mno yaani full ugwadu basi nikawa nashikilia bomba huku stimu zinabamba ,yaani we acha tu.
Kuna demu mmoja nilikuwa namfukuzia kinoma mamii,yaani kiroho safi tu,akaamua kulisanua na kunitukania mama yangu,na mimi nikakata na kufunua ile kizari zari basi ikawa soo,daah yani ile kushtuka ni mbwayi na ikawa mbwayi ghufla najikuta nanyea debe baby.Ulifanyaje mpaka ukafungiwa?
Aaah kumbe ndio maana. Sasa nimejua kwanini post zako ziko vile kumbe ni sababu ya umri.mwaka 1995 hata sijazaliwa
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]Juzi baby,nilipokuwa Segerea nilikumiss sana,halafu ukame ulinibana mno yaani full ugwadu basi nikawa nashikilia bomba huku stimu zinabamba ,yaani we acha tu.
Mimi ni Teen ager mkuuAaah kumbe ndio maana. Sasa nimejua kwanini post zako ziko vile kumbe ni sababu ya umri.
Mwenyezi mungu amjaalie pepo mkeo Inshallah,manake inataka moyo mie sirudiiiiiiiiiiiii hata iweje ningebaki kwetu tanga
nikala makopa na au mafenesi na uji lakini kwako nisingerudi..........
hahaha Mkuu sirudi Wallah that was too much....Ungerudi tu