Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
Inakuwaje binti anaishi na familia yake, namaanisha baba na mama na bado analilia kuhudumiwa kama vile mtoto yatima??
mahusiano ndio kwanza yana wiki mbili sijakuowa unaishi kwenu na bado unataka kuhudumiwa kama mke wa wan ndoa,
Aisee nimeshangaa sana bora nitafute visa tu nikimbie nchi hawa madem wa Tanzania
ni visanga hata kama ni njaa hii sasa kali.
mahusiano ndio kwanza yana wiki mbili sijakuowa unaishi kwenu na bado unataka kuhudumiwa kama mke wa wan ndoa,
Aisee nimeshangaa sana bora nitafute visa tu nikimbie nchi hawa madem wa Tanzania