Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
Kaka kwahuyu sikushauriNaomba pia umalizie hzo no3 za mwisho nna kazi nazo...
Hakika mkuuHuyo siyo mpenzi, ni mjasiria-K.
Mkuu sio poa mpaka mood imekataMademu wa Tanzania njaa kali...
Hata mimi naonaMmmmnh! Hamna kitu hapo
Hata akikupa usiile, utanasa mtegoniHata mimi naona
ππππ Hawa mademu wote unaoona ni mastaa hii ndio kazi yao, nasikia kuna wengine eti ni Wachungaji!Inakuwaje binti anaishi na familia yake, namaanisha baba na mama na bado analilia kuhudumiwa kama vile mtoto yatima??
mahusiano ndio kwanza yana wiki mbili sijakuowa unaishi kwenu na bado unataka kuhudumiwa kama mke wa wan ndoa,
Aisee nimeshangaa sana bora nitafute visa tu nikimbie nchi hawa madem wa TanzaniaView attachment 3136807 ni visanga hata kama ni njaa hii sasa kali.
Pole. Mnakutana wapi na watu kama hawa?π€Inakuwaje binti anaishi na familia yake, namaanisha baba na mama na bado analilia kuhudumiwa kama vile mtoto yatima??
mahusiano ndio kwanza yana wiki mbili sijakuowa unaishi kwenu na bado unataka kuhudumiwa kama mke wa wan ndoa,
Aisee nimeshangaa sana bora nitafute visa tu nikimbie nchi hawa madem wa TanzaniaView attachment 3136807 ni visanga hata kama ni njaa hii sasa kali.
Alafu na matusi juu...aloo Kazi ipoInakuwaje binti anaishi na familia yake, namaanisha baba na mama na bado analilia kuhudumiwa kama vile mtoto yatima??
mahusiano ndio kwanza yana wiki mbili sijakuowa unaishi kwenu na bado unataka kuhudumiwa kama mke wa wan ndoa,
Aisee nimeshangaa sana bora nitafute visa tu nikimbie nchi hawa madem wa TanzaniaView attachment 3136807 ni visanga hata kama ni njaa hii sasa kali.