Hukutakiwa kujibu hizo meseji tatu za juu,hawa wapuuzi sio wa kuwaendekezaInakuwaje binti anaishi na familia yake, namaanisha baba na mama na bado analilia kuhudumiwa kama vile mtoto yatima??
mahusiano ndio kwanza yana wiki mbili sijakuowa unaishi kwenu na bado unataka kuhudumiwa kama mke wa wan ndoa,
Aisee nimeshangaa sana bora nitafute visa tu nikimbie nchi hawa madem wa TanzaniaView attachment 3136807 ni visanga hata kama ni njaa hii sasa kali.
Mwanafunzi nini?Inakuwaje binti anaishi na familia yake, namaanisha baba na mama na bado analilia kuhudumiwa kama vile mtoto yatima??
mahusiano ndio kwanza yana wiki mbili sijakuowa unaishi kwenu na bado unataka kuhudumiwa kama mke wa wan ndoa,
Aisee nimeshangaa sana bora nitafute visa tu nikimbie nchi hawa madem wa TanzaniaView attachment 3136807 ni visanga hata kama ni njaa hii sasa kali.
Mkuu ungenisanua mapema😨😨Umekutana na malaya anayejiuza , hapo hamna mwanamke, ukiona mwanamke analazimisha huduma na haujamuoa huyo ni malaya taa nyekundu kichwani mwako iwake
Jaribu kukata huduma kwa mwanamke umuone rangi yake halisi , mtumie ukimchoka mwanzishie visa vya hapa na pale akija kustuka ashapigwa tukio lakukumbukwa milele na taswira yako hatoisahauMkuu ungenisanua mapema😨😨
Umeongea point mkuuJaribu kukata huduma kwa mwanamke umuone rangi yake halisi , mtumie ukimchoka mwanzishie visa vya hapa na pale akija kustuka ashapigwa tukio lakukumbukwa milele na taswira yako hatoisahau
Ukianza kujifanya unahuruma utaishia pabaya , utashindwa kupanga mambo yako mazuri ,Umeongea point mkuu
Hawa wanawake wengi wao wapo kwenye mahusiano, siyo kwa upendo wapo kwa maslahi binafsiUkianza kujifanya unahuruma utaishia pabaya , utashindwa kupanga mambo yako mazuri ,
Ndio maana ukimletea manyoka anaona malengo na faida alizotaka kwako hapati atakimbia kama kamwagiwa upupu kwenye ubongo, na kule anakoenda nako anaenda kupasuliwa hivo hivo ndio mwendo wao , na miaka inakatika wewe unakua unamcheka anavopigwa danadana tena asiombe akawa single Maza imekula kwakeHawa wanawake wengi wao wapo kwenye mahusiano, siyo kwa upendo wapo kwa maslahi binafsi
Mbaya zaidi wanawahi kuzeeka kuliko sisi wanaumeNdio maana ukimletea manyoka anaona malengo na faida alizotaka kwako hapati atakimbia kama kamwagiwa upupu kwenye ubongo, na kule anakoenda nako anaenda kupasuliwa hivo hivo ndio mwendo wao , na miaka inakatika wewe unakua unamcheka anavopigwa danadana tena asiombe akawa single Maza imekula kwake
Mwanamke akishagonga 40, tayari habari inaisha atabaki kupigwa na ma x au yeye ahonge na alee vijana , zaidi ya hapo anabaki kama uchochoro wa chooni kila aliyebanwa na haja atapita kwenda kujisaidia kidogo na kuondoka , ndio maana ukikuta mwanamke ana 40 kuendelea Hana ndoa na single Maza anabidi awe mpole , hua wanajigonga kwa wame za watu halafu wanaishia kulia kilio kitakatifu labda apate mstaafu amstiri na mafao yakiisha mateso yanaendeleaMbaya zaidi wanawahi kuzeeka kuliko sisi wanaume
Mtawalaumu sana hawa mabinti lakini hebu tukuulize, we mwenyewe ndani ya hizo wiki mbili hujataka mzigo kweli? ... isije ikwa ndo wale wale leo mmetongozana kesho unaomba mzigo.Inakuwaje binti anaishi na familia yake, namaanisha baba na mama na bado analilia kuhudumiwa kama vile mtoto yatima??
mahusiano ndio kwanza yana wiki mbili sijakuowa unaishi kwenu na bado unataka kuhudumiwa kama mke wa wan ndoa,
Aisee nimeshangaa sana bora nitafute visa tu nikimbie nchi hawa madem wa TanzaniaView attachment 3136807 ni visanga hata kama ni njaa hii sasa kali.
Nimekaa kimya toka janaHukutakiwa kujibu hizo meseji tatu za juu,hawa wapuuzi sio wa kuwaendekeza
Sio mwanafunziMwanafunzi nini?
Sijawahi hata kula mzigo mkuuMtawalaumu sana hawa mabinti lakini hebu tukuulize, we mwenyewe ndani ya hizo wiki mbili hujataka mzigo kweli? ... isije ikwa ndo wale wale leo mmetongozana kesho unaomba mzigo.
We ukiwa unamfanya kama mkeo tayari (unakula mzigo) basi kubali na yeye kukufanya kama mumewe (Kukuomba pesa)