Wang Shu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 2,562
- 3,715
Enyiiiii! Wanawke tambua kuwa mnamvuto wa kipekee sana kwenye biashara,mnaweza kujikusanyia wateja wa rika mbalimbali na jinsia zote kama mkitaka na kujirekebisha tabia ya nyodo na dharau kwenye biashara.
Wadada wengi wakiwepo kwenye biashara,yake au amejialiwa atoe uduma basi nyodo na dharau zake zote za mtaani anazileta kwenye biashara
Wanawake wakiuza biashara ya mavazi ya kiume wanatupatia sana wanaume,kuna mdada ananiuzia viatu anatembeza mtaani,nimeshangaa jinsi alivyokariri rangi za nguo zangu
T-shirt na suruali zangu ata kama siivai mara nyingi, akipata kiatu kinachoenda na rangi ya T-shirt yangu lazima anitafute anishawishi ninunue na kunambia nikivaa na nguo flani nitapendeza sana na kweli siku nikivaa najiona kabisa kuwa uku sasa ndio kuvaa nakupendeza
Amekuwa maarufu sana mtaani na ameshafungua ofisi sasa ivi tunamfwata yeye kazi yake kutupigia simu wateja wake wa kudumu na kwenda kuchukua bidhaa.
Namuamini sana hajawai kunivalisha kitu kibaya wanawake ni waaminifu kwenye biashara akikuambia hiki kizuri ni kweli kizuri sio kama wazee wakuveshana.
Kuna mdada mwingine yeye anauza mishikaki,hakika amekuwa watofauti na nimekuwa mteja wake wakudumu ata kama sina pesa nimekuwa mteja mwaminifu kwake ananipatia mishikaki.
Anaitwa "Sister Mishikaki" jina la kazi ameshika vijiwe vyote vya wauza mishikaki hakika ameongeza kitu kwenye biashara yake amekuwa mbunifu kidogo anauza mishikaki ya nyama ng'ombe,ya kuku, na kitimoto kwaiyo ukifika kwake unachagua wewe unataka kula nini.
Ufanisi wa hali juu kijiwe bora cha mishikaki sijawai kuona wateja tunaweka foleni.
Zipo shughuli nyingi wakifanya wanawake kwa ufanisi mzuri ni rahisi kufanikiwa kwa sababu wanahuruma, upendo na kujali.
Sio wavumilivu kwa wateja, kupandwa na hasira haraka,dharau, nyodo bila kusahau na wivu wakirekebisha ivyo wanatoboa kirahisi saaaaana.
Wadada wengi wakiwepo kwenye biashara,yake au amejialiwa atoe uduma basi nyodo na dharau zake zote za mtaani anazileta kwenye biashara
Wanawake wakiuza biashara ya mavazi ya kiume wanatupatia sana wanaume,kuna mdada ananiuzia viatu anatembeza mtaani,nimeshangaa jinsi alivyokariri rangi za nguo zangu
T-shirt na suruali zangu ata kama siivai mara nyingi, akipata kiatu kinachoenda na rangi ya T-shirt yangu lazima anitafute anishawishi ninunue na kunambia nikivaa na nguo flani nitapendeza sana na kweli siku nikivaa najiona kabisa kuwa uku sasa ndio kuvaa nakupendeza
Amekuwa maarufu sana mtaani na ameshafungua ofisi sasa ivi tunamfwata yeye kazi yake kutupigia simu wateja wake wa kudumu na kwenda kuchukua bidhaa.
Namuamini sana hajawai kunivalisha kitu kibaya wanawake ni waaminifu kwenye biashara akikuambia hiki kizuri ni kweli kizuri sio kama wazee wakuveshana.
Kuna mdada mwingine yeye anauza mishikaki,hakika amekuwa watofauti na nimekuwa mteja wake wakudumu ata kama sina pesa nimekuwa mteja mwaminifu kwake ananipatia mishikaki.
Anaitwa "Sister Mishikaki" jina la kazi ameshika vijiwe vyote vya wauza mishikaki hakika ameongeza kitu kwenye biashara yake amekuwa mbunifu kidogo anauza mishikaki ya nyama ng'ombe,ya kuku, na kitimoto kwaiyo ukifika kwake unachagua wewe unataka kula nini.
Ufanisi wa hali juu kijiwe bora cha mishikaki sijawai kuona wateja tunaweka foleni.
Zipo shughuli nyingi wakifanya wanawake kwa ufanisi mzuri ni rahisi kufanikiwa kwa sababu wanahuruma, upendo na kujali.
Sio wavumilivu kwa wateja, kupandwa na hasira haraka,dharau, nyodo bila kusahau na wivu wakirekebisha ivyo wanatoboa kirahisi saaaaana.