Wanawake wananipenda kwa sababu sijatahiriwa

Wee kitu ina sura mbaya hiyo mmh cjui kama hata wanamsuck maana huwa linatunza uchafu

watakuepo tu si umeona kina Kaunga wanamkaribisha Kigoma kaandaliwa na Migebuka ladyfurahia keshatoa physical adress yake
Mie nishamtafutia nyumba huku mtaani kwetu hamna haja ya madalali sitaki ahangaike
akija kazi ni moja tu
 
Last edited by a moderator:
Kuwa makini hapo Ukonga. Usipokamata binti wa Mwanajeshi, utakuwa na mke wa askari magereza, kama sio askari magereza ni mke wa FFU . Sasa angalia wasije wakakutahiri kwa Chupa.
 
watakuepo tu si umeona kina Kaunga wanamkaribisha Kigoma kaandaliwa na Migebuka ladyfurahia keshatoa physical adress yake
Mie nishamtafutia nyumba huku mtaani kwetu hamna haja ya madalali sitaki ahangaike
akija kazi ni moja tu

huyo anajifariji na maneno ya mkosaji, sijui harufu mara unga; siko zote people go for rare commodities; ngoja tumuwahi before his kind go into extinction; tutasimulia nini wajukuu. snowhite weye hutaki test hii zari????
 
Last edited by a moderator:
Nilivyoona tu heading nikahisi huyu atakuwa Bujibuji kufungua nakuta kweli ni wewe,daah, hivi hakuna oparesheni ya kurudisha ile kitu na mimi wanigombanie japo utu uzimani huku

kuna mtu kaniambia kuwa kuna mtaalaamu wa mitishamba anarejesha hiyo mambo, natafuta muda niende...
 
Bujibuji hukosi visa,najilaumu sweta langu kuondolewa mbona wangekoma,
 
huyo anajifariji na maneno ya mkosaji, sijui harufu mara unga; siko zote people go for rare commodities; ngoja tumuwahi before his kind go into extinction; tutasimulia nini wajukuu. snowhite weye hutaki test hii zari????

ahhaahhahahhahahhahhaha uuuuuuuwih!
govinda!ahahahahhahah BIG NO!
sasa ntakulaje ndizi isomenywa banaaaaa!imekuwa embe tanga hilo!bora embe tanga nawekea na pilipili ndizi na maganda yake naweka nini sasa!ahahahhahahha
uuuwih!
 
Haya bwana Bujibuji, mie sisemi, acha wadada watudhihirishie hili la utamuwa mkono wa sweta!
 
naomba aende kwa mganga mkuu akaondolewe hilo gozi lake kwanza kisha aje kwangu
watakuepo tu si umeona kina Kaunga wanamkaribisha Kigoma kaandaliwa na Migebuka ladyfurahia keshatoa physical adress yake
Mie nishamtafutia nyumba huku mtaani kwetu hamna haja ya madalali sitaki ahangaike
akija kazi ni moja tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…