Wanawake wanaohitaji-mimba

OME123

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2010
Posts
1,497
Reaction score
605
Kwa mwanamke anahitaji mimba anitafute kwani najiamnini sana kwa kumpatia mwanamke mimba kwa haraka zaidi,kwani nguvu zangu za kiume nazi amni sana.serious its note a joke
 
Nenda Ohio utawapata huko mkuu!!!
 
Reactions: rom
Nguvu zakiume has nothing to do with uwezo wa kuzalisha! unahitaji darasa kubwa!
 
isijekuwa mbegu mbaya.......
 
Kwa mwanamke anahitaji mimba anitafute kwani najiamnini sana kwa kumpatia mwanamke mimba kwa haraka zaidi,kwani nguvu zangu za kiume nazi amni sana.serious its note a joke

Acha uzinzi......

Soma andiko hili hapa:-

01 Wakorintho 06:09-10, inasema...

"9 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi. "
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…