Wanawake wanaongoza kwa kuwa na Wasiwasi Uliopitiliza duniani

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826

Takriban Watu Milioni 315 sawa na 4% ya Watu Duniani kote, wanakabiliwa na Tatizo la Wasiwasi Uliopitiliza.

Mwaka 2020 pekee, 90% ya Nchi zote Duniani zilipatwa na ongezeko la 25% ya Wasiwasi Ulipitiliza, kutokana na kuibuka kwa Ugonjwa wa #UVIKO19.

Kwa mujibu wa Takwimu za Jukwaa la Uchumi (WEF), Wanawake Milioni 195.6 wameathirika na Tatizo la Wasiwasi Uliopitiliza, na Wanaume ni takriban Milioni 119.8.

Je, Unakabiliana vipi na Tatizo la kuwa Wasiwasi Uliopitiliza? Maoni yako yanaweza kusaidia wengine, Tafadhali tuandikie.
 
Kwani ulikuwa hujui? Si ndio maana wanasema nafikiria jibu lako. .
 
Ugumu wa Maisha nao unachangia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…