Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Ngoja niwashe jiko
Ninao .nikupe mmoja?
Heshima yako mkuu...hao ni wadangaji bila kupepesha macho
Kudanga ni nini?hao ni wadangaji bila kupepesha macho
KutafutaKudanga ni nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eti anavuka barabara huku amefumba machoKwahiyo ww hutumiagi condomu,? ,unavuka Barabara huku umefumba macho?
Kila siku wakati natimiza majukumu yangu, huwa nawapa condom za bure kabisa ila wengine wanajifanya kuzikataa na kuona aibu.
Nyie wenye kujifanya mna aibu ndio wabaya zaidi...nitaendelea kuwapa wazee maana hawazikatai[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Mi nijuavyo wanawake wengi wanaotumia njia za kuzuia mimba kama vijiti, vidonge na sindano ndo wanakuwa malaya sana maana wanawake wengi huogopa mimba sio UkimwiKatika utafiti wangu nilioufanya kwa wanawake wengi.wanawake wanaotumia condom ,wengi wao wanatembea na wanaume wengi.
Wanajiona wajanja kisa eti wanatumia condom.oooh nilimtosa Yule jamaa kisa alikataa condom.ina maana mtu akikubali condom ni basi yaani.