Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Imenifanya nijiulize:
a. Inasababishwa na nini?
b. Inafikaje hadi mwanamme anamtwanga mumewe/mpenzi wake
c. Ukitwanga na mwanamke unaenda kushtaki au kumwambia mtu?
Nimesema hivi kwa sababu niliwahi kusoma kwenye maandiko mahali fulani kuwa "ni bora kukaa kwenye kona darini kuliko kukaaa kwenye nyumba pana na mwanamke mgomvi!"...
hahahahaah.......you have made my daywewe kulala kulala
akili nehi
afu uchokoz/unaleta ujinga na upumbavu wakat MKEO ANAITWA NYAMBURA THEN MJEDA y not asikudunde?
mwenyewe nkitaka kuolewa natafuta kamwanaume kembambaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ikg 30 ivi ili kakinichokoza nikanyuke vyema:bange:
hivi bado kuna wanaume wanopokea kichapo kutoka kwa wake zao? Ukiona mwanaume anakubali kupigwa na mkewe ujue ana matatizo!
Mwanaume always ni kichwa cha familia, ndio mfanya maamuzi!
Utawasikia sasa hivi wanadai eti mfumo dume huu!Hivi bado kuna wanaume wanopokea kichapo kutoka kwa wake zao? Ukiona mwanaume anakubali kupigwa na mkewe ujue ana matatizo!Mwanaume always ni kichwa cha familia, ndio mfanya maamuzi!
Kweli tena..Yaani ni kama kawaida mama kutwangwa na baba, ila akitwangwa baba inaonekana ajabu....Mwanakijiji..................Hili swali lako haliwezi kuwekwa kwa jinsia zote? Kwa nini mwanaume naye ampige mkewe/mpenziwe?
Umenichekesha weye, kuna wenye kilo ndogo ila watata kweli angalia usije ukadundwa wewe...wewe kulala kulalaakili nehiafu uchokoz/unaleta ujinga na upumbavu wakat MKEO ANAITWA NYAMBURA THEN MJEDA y not asikudunde?mwenyewe nkitaka kuolewa natafuta kamwanaume kembambaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ikg 30 ivi ili kakinichokoza nikanyuke vyema:bange:
<BR><BR>ehh kwan ntakubali anioe b4 sjamtest?<BR>kwenye uchumba uku uku yaan ntakuwa namchokoza kwa udi na uvumba mpk anyanyue mkono wake then apo apo naanza kuwa dada van dame na ikitokea kanidunda bas nanuna na uchumbaunakufa apo ..ikitokea nimemdunda manundu kibao basi nambembeleza na dina namtoa nakwambia nakulala ntamtoa tukalale movenpick ivi au safar ya zenj ntaifanya fasta....MAPENZ YATAZID..lakin akinidunda ahh imekula kwake&nbsp;&nbsp; NTAMNUNIA MWAMZO MWSHOOOOOOOOOOOOOOOOO!!!!!!!!!!!!!!Umenichekesha weye, kuna wenye kilo ndogo ila watata kweli angalia usije ukadundwa wewe...
wanabonwa saaana lakini wanaona noumer kushtaka tehetehe one day nilikuwa nipo kituo kidg cha police tbt likaja libaba linadai limebondwa na mkewe! askari wakamuliza sa tukusaidiaje bwana jamaa linalalamika eti mkewe anangv lilikuwa laogopa krd home looolUtawasikia sasa hivi wanadai eti mfumo dume huu!
hahha hhaahh...sasa unataka nichague kibonge km massawe kitambi ngoooo kajazia kila sehemu ili anidunde fresh....ahh nakwambia qualifcation ya kwanza kg 30 akizid apo anifai........:israel:
duh hapo hakuna mind