mwandende JR
JF-Expert Member
- Aug 6, 2017
- 1,090
- 1,336
Kweli kaka uko sawaKwa mtu anayeiona papuchi kila siku, na yule anayeiona mara moja kwa mwezi, unadhani nani anakua na mzukaa?
Uko sahihi sana,jambo hili limewadhuru sana wazungu,mpaka wamefikia kutengeneza madawa ya kuongeza nguvu za kiume ni kwasababu kwao hili ni tatizo kubwa.Na hii shida inazidi kuongezeka sasa huku kwetu,unakuta kijana mdogo miaha 25 hamna kitu,hii ni hatari..Wakuu,
Mavazi ya half naked kwa kina dada
Picha za uchi za kina dada..
Ndiyo chanzo kabisa cha kuwafanya wanaume washindwe kazi kitandani kwa kukosa mzukaa.
Maumbile ya mwanamke yanatakiwa yasitiriwe ili kwamba, pale mwanamume anapoyaona chumba yampe stimu maana atakua hajazoea kuyaona ona.
Lakini wadada wasiku hizi wanavyovaa, ni chanzo kikubwa cha wanaume kukosa hamu ya mapenzi. Maumbile ya wanawake yamekua yamezoeleka machoni pa mwanamume.
Imefika pahala mwanamume anaweza kuiona hata picture ya mwanamke aliye uchi na wala asisimamishe. Hii inatokana na kuzoea kuyaona maumbile hayo mara kwa mara.
Mtu anaweza kujihisi hana nguvu za kiume kumbe ni akili imeshayazoea maumbile ya mwanamke na kuyaona ya kawaida kwaiyo kutopandisha mzuka hata mkiwa chumbani.
Ktk kufanya tendo la ndoa kwa ufanisi, akili na saikolojia yako ni jambo la msingi sana.
Mwanamume Jitahidi kuepuka picha za utupu za kina dada pamoja na video za ngono maana zina mchango mkubwa sana ktk kukupunguzia hamu ya tendo la ndoa.
[emoji23][emoji23][emoji23]Waliokosa nguvu
Coca cola zero[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukimuona mwanamke usoni mweupe halafu miguuni mweusi..my braza piga nae picha huyo ni pundamilia toleo la mwisho.[emoji23][emoji23][emoji23]
Point!!Kwa mtu anayeiona papuchi kila siku, na yule anayeiona mara moja kwa mwezi, unadhani nani anakua na mzukaa?
Ongezea na wigi la zambarau [emoji3][emoji3][emoji3]Mwanamke ana rangi kama UPINDE WA MVUA,njano,kijani,blue,nyeusi na mbaya zaidi rangi zipo ktk viungo tofauti....mapaja tofauti na uso..tofauti na mgongo...ukimuangalia sn hana tofauti na KINYONGA.hizo nguvu zitatoka wapi?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ukimuona mwanamke usoni mweupe halafu miguuni mweusi..my braza piga nae picha huyo ni pundamilia toleo la mwisho.[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1] [emoji3]Ongezea na wigi la zambarau [emoji3][emoji3][emoji3]
weka picha mtanisio kweli
hahahahahahahahahhaahahaha, tehe tehe tehe teheweka picha mtani
Naunga mkono hoja...kabisa hii ni sahihi niliwahi kusoma makala moja inayohusu sababu ambazo KE wanafanya kwa ME kupungukiwa nguvu mojawapo ilikuwa ni hii uliyosema...nyingine zilikuwa ni USAFI BINAFSI..KAULI MBOVU... MAANDALIZI n.kWakuu,
Mavazi ya half naked kwa kina dada
Picha za uchi za kina dada..
Ndiyo chanzo kabisa cha kuwafanya wanaume washindwe kazi kitandani kwa kukosa mzukaa.
Maumbile ya mwanamke yanatakiwa yasitiriwe ili kwamba, pale mwanamume anapoyaona chumba yampe stimu maana atakua hajazoea kuyaona ona.
Lakini wadada wasiku hizi wanavyovaa, ni chanzo kikubwa cha wanaume kukosa hamu ya mapenzi. Maumbile ya wanawake yamekua yamezoeleka machoni pa mwanamume.
Imefika pahala mwanamume anaweza kuiona hata picture ya mwanamke aliye uchi na wala asisimamishe. Hii inatokana na kuzoea kuyaona maumbile hayo mara kwa mara.
Mtu anaweza kujihisi hana nguvu za kiume kumbe ni akili imeshayazoea maumbile ya mwanamke na kuyaona ya kawaida kwaiyo kutopandisha mzuka hata mkiwa chumbani.
Ktk kufanya tendo la ndoa kwa ufanisi, akili na saikolojia yako ni jambo la msingi sana.
Mwanamume Jitahidi kuepuka picha za utupu za kina dada pamoja na video za ngono maana zina mchango mkubwa sana ktk kukupunguzia hamu ya tendo la ndoa.
pale ambapo mlengwa kaguswa anajaribu kukanusha...hahaha eti sio kwelihahahahahahahahahhaahahaha, tehe tehe tehe tehe
hahahahahahahahahahahahahapale ambapo mlengwa kaguswa anajaribu kukanusha...hahaha eti sio kweli
Wanaume waliooa wengi wanachepuka maana wake zao wachafu.Naunga mkono hoja...kabisa hii ni sahihi niliwahi kusoma makala moja inayohusu sababu ambazo KE wanafanya kwa ME kupungukiwa nguvu mojawapo ilikuwa ni hii uliyosema...nyingine zilikuwa ni USAFI BINAFSI..KAULI MBOVU... MAANDALIZI n.k
How should we live?Usilalamike mkuu. Ikishindikana kumridhisha, cha msingi wewe umeridhika.
You havent failed her; your body failed you. Kwa sababu sidhani kama kuna mtu hataki kuwa Guru maeneo hayo.
The only problem ni life style yetu. Ni mbovu na kwa bahati mbaya ni addictive. I think us 'modern' men, need to get more serious about how we live.