mayraclara
Member
- Oct 6, 2018
- 20
- 6
Hahahahah [emoji23]Hongera mama kuwa mrefu ni baraka, na ufupi ni laana mfano ni [emoji350] wa dodoma kichwa kinakua jirani na tumbo kitu kinachopelekea ubongo kuathirika na joto la mavi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha mkuu nmecheka jaman.....Hongera mama kuwa mrefu ni baraka, na ufupi ni laana mfano ni [emoji350] wa dodoma kichwa kinakua jirani na tumbo kitu kinachopelekea ubongo kuathirika na joto la mavi
Sent using Jamii Forums mobile app
Jf iiishi milele....hahahah
Ubaya wa kuwa mrefu ni kuendana na expectations za watu yaani ukiwa mrefu sharti uwe vyema kila sekta..
Uwe na nguvu, akili, Ujasiri na wengine hadi size ya viungo vya siri..
Nipo kawaida tu lakini
[emoji4][emoji4][emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Usipate tabu wala, wanasema kila kisu kina ala yake... U'll fit into ur lane.
Sema ukifika miaka 60 hoiiiii na mkongojo juu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]180cm ,nikienda kwenye hafla naonaga ukumbi mzima. Hahahahahaha
kwa urefu huo bado navaa heels......
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakweli haujui kabisa, inabidi aonyeshwe ili awe na adabu.Huyo hajui utamu wa Harts!
Haiwezekani shangazi yako niwe mfupi alafu wewe uwe mrefu.Hahaha yaaani wewe hapana jamani....
Nimejikuta nacheka tuu aki
Halafu ni ving'ang'anizi na wanaongea mnooo mpaka wanaongea pointlessHahhahaha. Kung'ang'ania tuu wasivyovifikia.
[emoji23][emoji23][emoji23]
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Hahaha huendi mbinguniHalafu unakuta mwanaume mfupi anasimama simama pembeni yako. Akikusemesha anakuwa kama anaangalia mbingu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi sasa[emoji116][emoji116]View attachment 1005594
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Kwakweli hata mimi sijawahi, huwa nawaona kama walemavu[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
Hahahaha humu humu ankoli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2088]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dota nawe utakuwa mlemavu nini!![emoji85][emoji85]Sizitaki mbichi hizi assistant woman. Umenikumbusha kichambo tulichopata kisa kupenda tall guys eti tunafeel secure mweeh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dota nawe utakuwa mlemavu nini!![emoji85][emoji85]
Wafupi walitushukia sisahau.
Ila mwanaume unakuwa mfupi ili ututafutie sababu au[emoji134][emoji134]
Wasitufanyie hivyo jamani, wajitahidi tu warefuke.