Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka mueleweMelo itabidi afungue jukwaa lingine la malalamiko ya wanaume
Mnaupiga mwingi!
Ligi bado sana hiiToka jana mada ni moto sana.
Maisha yamekuwa magumu.
Pesa imekuwa ya shida pande zote.
Wanawake hawataki kusikia mwanaume anasema hana hela.
Ila wale wapiga mizinga wa JF wanajishtukia sana wakiona nyuzi kama hizi. Poleni 😊😊😊
Mtanange ni mzito sana!
Kwa kweli wacha tu iwe hivo ilmradi pesa tunapewa.Habari zenu,
Kama wewe ni Mwanaume unaejitafuta kimaisha ningependa kukupa ushauri huu, Mademu wasiokua na hela waachie wababu wanaokula pension na washkaji walioachiwa pesa za urithi. Utanishukuru!
NB: MADEMU KAUSHA DAMU NDIO NAWAONGELEA HAPA.
Hawa wazee wanataki wakusanywe sehemu moja wafichwe huko watuzwe kama wanavyofanya wenzetu mambele kwasababu wanatuharibia mabinti wake zetu wa baadae na kuwafanya vijana kutokua na fikra chanya kuhusu uchumi kubakia kuwaza mapenzi tu. Hawa ndiyo wanaochochea moto wa kausha damu uzidi kuunguza vijana wakamatwe wawekwe soberHabari zenu,
Kama wewe ni Mwanaume unaejitafuta kimaisha ningependa kukupa ushauri huu, Mademu wasiokua na hela waachie wababu wanaokula pension na washkaji walioachiwa pesa za urithi. Utanishukuru!
NB: MADEMU KAUSHA DAMU NDIO NAWAONGELEA HAPA.
Acha waje. Ni upepo tu lakini
EphenMelo itabidi afungue jukwaa lingine la malalamiko ya wanaume
Miaka yote 4 ya nyuma nilikuwa naisindikiza January na chupa za kutosha,but thus year aisee nimejawa na hofu,depression, kukata tamaa n.k.Kweli moto tunaoKweli hii January ni ngumu sana halafu ndio tarehe 15[emoji23][emoji23].
SawaNa wanaume wasio na Hela waachiwe mashangazi,mashugamami...
Draw!