Wanawake Watanzania waletwa Kenya na kutelekezwa

Wale wanawake wa kikenya wanaolawitiwa na alshababu hamuwaoni muwatetetee
 
I thank Kenyans who are trying to help the poor girls get back home. If it was Kenyans in Tz, they would be charged with illegal immigration etc and jailed. Yet this just an unfortunate story.
"Nonsense"
Poor girls? what does it mean.

Hao wamedanganyika kwa issue ya mapenzi tu nothing else.
 
Ndiyo mana kila siku tunasema wakenya ni wezi na matapeli hao wadada watakuwa awajajiunga jf ingewafumbua macho kuhusu kwanini tunawaiteni manyangau ilo jizi la Kenya limekuja tz na misuti wadada wakadanganyika wakadhani wakenya ni Matajiri kumbe mafukala wanaishi kwenye mabanda ya kibera nawashauri dada zetu hivi WASIONE MKENYA KAVAA SUTI WAKADHANI NI TAJIRI MIKENYA YOTE YA KIBERA INATINGA SUTI KUMBE INALALA KENYE MABANDA KAMA NGURUWE UKO KWAO
 
Wewe lwiva usitutie lawama wanachopenda dada zenu kutoka kwa wakenya si suti. Wanapenda wanaume wa kikenya kwasababu hawabanii pesa afu ni wanaume rijali hamna cha chipsi mayai wala nini. Walivozoea nyie vibamia wakishapigwa njiti la kweli hamna namna wanahamia Kenya kabisa.
 
Wadada wa tz wanapenda wakenya juu ya hela.
 
Huwa wanawapenda Wakenya coz ni mabwege wanaoweza kuwapa kipigo mda wowote, Wanaume wa Afrika Mashariki tusimame pamoja tuwatetee Wanaume wa Kenya wapunguziwe kipigo kutoka kwa madem zao
 
Story nyingine bana, hazina mshiko
 
Yaani wanawake wa TZ wawaogope Wanaume wa Kenya wanaopigwa na wake zao kila uchwao na Wasiowaridhisha kitandani?

Nimeishi sana Kenya, wanawake wa TZ watakuwa na mwanaume wa Kenya kwasababu ya PESA tu. Tena wasio wabahili ni wakikuyu tu na at least wana roho nzuri na ni washkaji kuliko wanawake wao wa kikikuyu.

Kenya viepe ni kiiiila baada ya hatua 2 hapo usitudanganye kuhusu viepe.

Unajua kilichomuua Ndikumana mume wa Irene Uwoya kisha akaolewa na dogo janja?

Unajua kilichomuua Ivan Mume wa Zari kisha zari kuchukuliwa na Diamond?


Nimewapelekea sana washkaji zangu wa Nairobi kule Bomas, Karen na Rongai dawa za kuongeza nguvu kitandani tena ya viungo tu ambavyo wao hawakuvijua before na mpaka leo wanahitaji mzigo ili kuwaridhisha wake zao jooh.

Usikurupuke usivyovijua.
 
wana passport??
mmejuaje ni wa tz?

inaonesha ni jinsi gani nchi yenu haiko makini huko border
Hakuna haja ya kuona passport zao, huwa wanajitambulisha vizuri na maneno yao. Eti kaka jamani naomba njoo tuende tukajumuike pamoja kwenye mikasi ya mwendokasi. [emoji38]
 
Hakuna haja ya kuona passport zao, huwa wanajitambulisha vizuri na maneno yao. Eti kaka jamani naomba njoo tuende tukajumuike pamoja kwenye mikasi ya mwendokasi. [emoji38]
Mtapata hao machangudoa, ila wale wa hadhi ya juu wa Kenya na Tanzania tunachukua sisi wa Tanzania. Ninyi kwetu ni second class, mtachukua hao second class wenzenu ndio level yenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtapata hao machangudoa, ila wale wa hadhi ya juu wa Kenya na Tanzania tunachukua sisi wa Tanzania. Ninyi kwetu ni second class, mtachukua hao second class wenzenu ndio level yenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee ndugu yangu, acha kufata machangudoa. Tafuta mwanamke mwenye hadhi, staha na heshima, kisha kuza familia yako. Basi. Ushauri wa bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…