sio wote
wazuri wapo pia still
But who is the sourse????? umenitoa kwetu sikuhi kuongea mwenyewe kama chizi wala kumuwazia mwingine mabaya but now.........woh!!!!!! nitapiga keleuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiKwanini usibadilike kitabia wakati umekubali ndoa!!
hayo yote uliyosema hapo ni matokeo ya ndoa yenye misukosuko
nadhani hujachelewa kamuone mtaalam, au omba ushauri utabadilika tu na kuwa na Tabia mbaya tena. unaweza kumsaidia na yeye akabadilika pia so. si kweli ni matatizo ambayo yana hitaji solution ya haraka.
pole sana, ila si wote wanabadilika tabia kwa maovu....unaweza ukabadilika kwa mazuri pia. kama kwenda kusali,kurudi mapema,na mengineyo
seriously kamuone mtaalaam wa saikolojia au kiongozi wa dini,
pole sana.
But who is the sourse????? umenitoa kwetu sikuhi kuongea mwenyewe kama chizi wala kumuwazia mwingine mabaya but now.........woh!!!!!! nitapiga keleuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Karen hivi vitu vinakuja vyenyewe automatic unashangaa hutamani kumjibu vizuri cos kakujia asubuhi hutamani hata kuongea cos akifungua mdomo wake ni pombe tupu na maneno ya kuudhu. so vitu vyote hivyo unashangaa unavifanya japo hukulelewa hivyoNafikiri kufanya hayo yote wala sio solution! Ni bora ukatafuta mbinu mbadala ya kumbadilisha mume wako na kuiponya ndoa yako! Kumkomoa mume wako ni sawa na kujikomoa mwenywe!
Usikubali mtu yoyote akubadilishe who you really are..., Unless its for the Better...
"Two Wrongs dont make it Right"
Jamani wanawake wa JF nafikiri mtakubaliana na mimi kuwa wanawake wengi tulioko kwenye ndoa sivyo tulivyo. Tumebadilika kutokana na tabia mbaya za waume zetu. wametusababisha tumekuwa na Gubu, Hasira, Kiburi, Dharau, Mawazo, Magonjwa, Ulevi, na hata utumiaji wa pesa hovyo kwa madai kwamba mbona yeye anapeleka kwa wanawake zake huko nje let me enjoy. Wanawke hoyeeeeeeeeeeee:israel:
VOR unapokuwa kwenye shida kuna wakati unaona giza kabisa .........i have been there ...i have done that..... lakini yote mapito jitahidi sana kutafuta ushauri kwa watu wenye busara bila kusahau kusali sana.
Utatabasamu na kucheka na mtu ambaye anakunyanyasa?? so mpaka hapo tu umeshaishi vile ambayo reality hukuwa hivyo