Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,403
- 12,775
Weeeeeeeeeeee usiseme hivyo nilitoka kwetu miaka 5 iliyopita nilikuwa mcheshi, na mwenye furaha wakati wote ila sasa kucheka kwangu ni kwa nadra sana cos mwanaume kichwa kinaniuma frequently kisa....... juzi nilikuwa naendesha gari nimepitiliza kichumi cha home nimejikuta kilomita kama 4 hiv cos mawazo why?????My take ni kwamba mtu yeyote asiyejua anakoelekea basi njia yoyote humfikisha kwenye safari hiyo...huwezi kua muadilifu na mwenye tabia njema tokea utotoni na ghafla badae uwe na hulka na tabia zisizofaa huku ukijipa tumaini mazingira ndiyo yamekubadili!...Hata kidogo!
Weeeeeeeeeeee usiseme hivyo nilitoka kwetu miaka 5 iliyopita nilikuwa mcheshi, na mwenye furaha wakati wote ila sasa kucheka kwangu ni kwa nadra sana cos mwanaume kichwa kinaniuma frequently kisa....... juzi nilikuwa naendesha gari nimepitiliza kichumi cha home nimejikuta kilomita kama 4 hiv cos mawazo why?????
thats a lame excuse...unabadilika kisa mumeo?
Chauro we acha tu mumy haya mambo yapo japo wanaume wanayakataa ila yapoPole sana mpenzi umenikumbusha mbali sana huwa ni kipindi kigumu sana siku moja nilikuwa na mawazo mpaka nikajikuta naongea mwenyewe njiani kaka watu maskini alifanya kunipigia makofi kuniuliza kulikoni.
Chauro we acha tu mumy haya mambo yapo japo wanaume wanayakataa ila yapo
tena kama unabosimwanamke ofisini ndo kikiamka atawalazi chali wafanyakazi woote kwa hasira za home kwake
we Arch sema tu hivyo wakati nyie wanaume wakati mko vyuoni mnakuwa hamna pesa so kumbe mnaishi kulingana na wakati.Ndiyo maana tunashauriwa kuwa na muda wa kutosha kufahamiana kabla hatujafanya maamuzi magumu ya kuishi pamoja ili kuepusha haya mambo ambayo naamini yanaepukika...nalazimika kufikiri kua km ulituliza kichwa na hukusukumwa na mali/kitu ama influency ya mtu kiasi cha kukupotezea umakini wako wakati wa urafiki na uchumba basi usingefika hapa leo...
DahhhhLakini mazingira ya ndoa si yanasababishwaNa wote wawili ... maana ndoa ni baina ya wawiliAu ndio vipi tena? ?sasa si ndo hayo mazingira ya ndoa?? ambayo wanaume ndo wanayasababisha
wanaume!!1 Wanaume!!!
I think you meant Funny...., although I think she has a pointhahahha Afrodezi you are fanny.
Acheni kujustify maovu kwa kuwapaka wenzenu matope. Na wanawake walevi ambao hawataki ndoa? Nani kasababisha.
Yashinde mazingira unayoishi, ndo maana uliumbwa binadamu na siyo simba au swala.
Au walaumu waliokulea, maana waliruka syllabus ya uvumilivu wa ndoa.
UVUMILIVU!!!! UVUMILIVU!!! What is this??? chakuja kupata presha na vidonda vya tumbo kisa??? uvumilivu ulikuwa enzi za mabibi zetu rembember this is 2011!!!! Upo hapo?