Wanawake wengi wanahamasisha nyumba ndogo


hamna ukweli. Huko nyumba ndogo si mnafata wanawake hao hao. Kama mkeo anafanya sivyo rekebishaneni. Sio kuhangaika hangaika kama kuku wanaotaka kutaga!
 
Acha ujinga nyumba ndogo ndo umeona suluhisho wewe km mwanaume hujakamilika.
 
hamna ukweli. Huko nyumba ndogo si mnafata wanawake hao hao. Kama mkeo anafanya sivyo rekebishaneni. Sio kuhangaika hangaika kama kuku wanaotaka kutaga!
<br />
<br />
Very true mimi km mwanaume siwezi kumuacha mke wangu ndani eti nakimbilia mwanamke nje ili nijipoze then narudi home ujinga mtupu
 
Wanawake wanavisababu sana,mpaka sometime kurudi home inakuwa kero,jirekebisheni wamamaaaaaaaa!!!
 
Huyo KIDUMU wako huwa unakaa naye masaa mangapi kati ya siku 365? Kinachokufanya umuone wa maana ni kwasababu unakaa naye muda mfupi hivyo humzoei yaani unakuwa mshamba kwake, nakushauri hebu kioe hicho KIDUMU chako tuone kama hutatafuta KIDUMU kingine tena. Acha kabisa maneno yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…