Wanawake wenye hizi tabia wanastahili heshima sana na kuthaminiwa

Mzee wa miongozo apite hapa, inaonekana alikuwa anaenjoy sana[emoji23].

Wale mademu wenye viharage vinavyodinda vizuri wakipatiwa ramance wapewe funguo za uzima wa milele.
Achana na bosi tafadhali![emoji15][emoji15][emoji15][emoji12]
 
Na bado utamtafuta tena akupe tena kipigo cha kuukonga moyo wako. Hawa wapewe mitaji mikubwa ili waweze kujiajiri 😂😂😂😂

Wanaume wasimamia kucha afu mfukoni patupu anakukuna balaa afu mkimaliza anakupiga kizinga wewe mwanamke wafanyweje hawa???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…