Utakuwa na freezer wewe kukupanda mpaka kuset jeki kwanza ama mtalimboTumbo la mtu mwingine shida unayo wewe khaaa
Pambana na hali yako bila kutingisha wengine
Hapa tuko wengi, mdada aliye na tumbo flat, kitovu sio cha embe alafu ana kalio, wanapendeza sana!!Mwanamke mwenye tumbo frani hivi halafu kitovu cha ndani ana raha yake ukute na tako lipo kiasi hua wananimaliza kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa. Kajuta kupiga chabo.We jamaaa umenifanya nicheke saana. Kwenye dalaladala alafu pembeni yangu kuna Dada mada inamuhusu muda mwingi alikuwa anaichungulia simu yangu baaada ya kuona hii mada nimemwekea asome
Pole sana mkuuTumbo la mtu mwingine shida unayo wewe khaaa
Pambana na hali yako bila kutingisha wengine
Hahahahah chief umenichekeshaWe jamaaa umenifanya nicheke saana. Kwenye dalaladala alafu pembeni yangu kuna Dada mada inamuhusu muda mwingi alikuwa anaichungulia simu yangu baaada ya kuona hii mada nimemwekea asome
Dera bila tako ni sawa na kanzu tuuUkiwa na tumbo utapendeza kwenye dera tu
nakupa phd ya heshima.Tumbo la mtu mwingine shida unayo wewe khaaa
Pambana na hali yako bila kutingisha wengine
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mmh. Leo zamu ya wapenda kula hovyo hovyo. Kazi ipo mwezi huu.