Yaani kila leo afadhali ya jana.
Na wewe inakuhusu nini mkuuMmh. Leo zamu ya wapenda kula hovyo hovyo. Kazi ipo mwezi huu.
Foleni noma, nimemuona anasonya tuu taratibu
Hahaaa. Kajuta kupiga chabo.
Hivi bado unafanya mazoezi???Yaani kila leo afadhali ya jana.
Jiwe gizani limepata mlengwa, una kitambi Sonia. Fanya mazoeziTumbo la mtu mwingine shida unayo wewe khaaa
Pambana na hali yako bila kutingisha wengine
Wanawake mnafuga matumbo mpaka kero, mi mwanamke mwenye tumbo kubwa hata sina hisia naeTumbo la mtu mwingine shida unayo wewe khaaa
Pambana na hali yako bila kutingisha wengine
ha kabisa ni watamu balaaMwanamke mwenye tumbo frani hivi halafu kitovu cha ndani ana raha yake ukute na tako lipo kiasi hua wananimaliza kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenye matumbo makubwa hata romance ni kichefuchefu, ila hawa flat dah acha kabisaAlafu niwe mkweli, wanawake wengi wa kiTz wana makalio yamejahliwa ila kitambi huwa kinaondoa kuonekana kwa mzigo, sasa ukimpata ambaye ana tumbo flat, utampenda! Wanapendeza kweli maana focus inakuwa upande mmoja! Nyuma!
Mi huwa najiuliza tu haya matumbo wanafuga ya ninni?Utakuta MTU asubuhi kala chapati 2 mchana ugali nyama au samaki usiku Kitimoto kilo mzima na lite kama 2 sasa ataachaje kuwa na kitambi?hakika ulaji mbovu unatuharibu shepu wadada
Hahaaa. Aisee upande huo ata sipo mkuu mi nipo kawaida tu.Na wewe inakuhusu nini mkuu
CANTSTOPWONSTOP
Safi sana, mi wanawake wenye matumbo makubwa ni mbali sana hata kama wana sura nzuri kiasi gani
Bado nafanya jirani. We ndio ukaacha kabisa au bado unaendelea mana hatuonani . [emoji85]Hivi bado unafanya mazoezi???
Kwenye avatar ndo tumbo lako?Utakuta MTU asubuhi kala chapati 2 mchana ugali nyama au samaki usiku Kitimoto kilo mzima na lite kama 2 sasa ataachaje kuwa na kitambi?hakika ulaji mbovu unatuharibu shepu wadada