Wanawake wenye pini puani hunivutia sana

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
halafu wengi huwa wanajipenda sana. hata kama masikini muda mwingi huwa wasafi na warembo.
 
Huyu wa mwisho kajiremba hatari
 
Mkuu ulikuwa mawazoni mwangu... ! Yaani mi najua nakudind* kabisaaa nikiwaona... ! [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Dah...nyie hamjakutana na tatoo za kiunoni kilichofungwa na nyororo za dhahabu [emoji14]
 
Sitaki hata kuwaona hao wenye vipini
 
Mke wangu nilimwambia wazi kuwa huo ndio ugonjwa wangu,kama vipi na wewe toboa akatoboa, weeeeeeee yaani nikimuangalia tu dudu lile kule na vile macho yake malegevu kama anatembea na kipande cha mb....... yangu ndio balaa zaidi.
 
Mke wangu nilimwambia wazi kuwa huo ndio ugonjwa wangu,kama vipi na wewe toboa akatoboa, weeeeeeee yaani nikimuangalia tu dudu lile kule na vile macho yake malegevu kama anatembea na kipande cha mb....... yangu ndio balaa zaidi.
huwa wanavutia sana cc Heaven on Earth
 
Watafiti wanasema mwanamke alietoboa pua,alietoga sikio tundu zaidi ya moja na anaejipaka rangi nyingi juu ya kope za jicho wana ujasiri wa kukupa kisichowezekana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…