Acha ubahili.Eti worries za Kesho. Jidanganye.Kwani ukimtunza mke Kesho haipo.mawazo potofuuuKwani mke amekuwa umeme, kwamba utazimika usipolipa bill ? Muono finyu wa kuwaza leo unawaponza. Eti mkono wa birika !! Kama umekula na umeshiba, unataka hela ya nn ? Nguo subiri mwaka mpya, nywele fanya kuzipunguza kwa mkasi, ama jifunge mabutu (vishungi).
wanaume wengi wako worried na kesho, siyo leo. Ndiyo maana wanabana leo ili kesho ipite salama
PoaMkuu mpaka sasa hivi mwanamke aliyechangia ni mmoja naye hajasema kua wanaume wana matatizo ila kaunga mkono kua watu bahili wana wivu.
Inawezekana haya maoni yako ni makubwa kushinda uhalisia.
Wanawake mkijua kama mnapendwa mnasumbua isivyo kawaida, unaongea na bwana ako utadhani unaongea na binti mwenzio kibarazani.
Wanaume shit tupo, ni marafiki zenu, kaka zenu, wadogo zenu n.k. lakini huu ushit haujatokea tu bila chanzo. Na wanaume wanaotimiza ndoto za wasichana wapo pia, usiweke wote kwenye kapu moja.
Pia ukiandika acha aya.
Kuna dada alishawai kuniambia et angekuwa mwanaume angekuwa anawa*some text missing*mba.,kumbe wenyewe ndo chanzo afu wanatulaumu.
Si hajabu hata mimi kuna mdada, ni rafiki tu....aliwahi kuniambiaga kama angekuwa mwanamme, angewat.omba wasichana mpaka anawakinai, akikaribia kuoa anachagua msichana mwenye uwezo kuwa mke wake ili mwisho wa siku kama hana kazi anatumia hela za mwanamke. Hilo ni wazo la mwanamke na ni mzuri kinoma.
Dada angu..Saula hili ni janga la dunia.kwa upande wangu mimi sipendi sana kugeneralize viti kama hivi.Kawa sababu hata sisi wanawake pia kuna wengine ni hatari.Nlishawahi kukutana na mwanamke anamnyanyasa mumewe hadi nikatamani anigawie mimi huyo kaka.Nachojaribu kusema ni kuwa sio wanaume wote na wala sio wanawake wote Shida ni moja wengi wanao oana hawaoani kwa kuwa wanapendana kwa dhati(na maanisha mapenzi hasa)siku hizi wanaume wanaoa eti kwa kuwa kakutana na wife material na sisi wanawake nao tunaolewa kwa kuwa fulani na fulani walisha olewa au kwa kuwa kuolewa ni lazima .Matokeo yake ndo hayo.Lakini kama ndoa zingekuwa kwa mtindo wa mapenzi ya dhati yote hayo yasingekuwepo.Wasalaam!
Kutokana Na malalamiko mengi mengi ya mahusiano Nimegundua ya kwamba matatizo mengi yanatokana Na wanaume.
Kwanza kabisa Ni kutojali kwao pia Na kuwachukulia wanawake kama vyombo vya starehe, kwamba anaweza akamchukua huyu, akamwacha. Hata kwa kosa Dogo, anatafuta sababu anaenda tongoza kwingine Na ahadi za ndoa fasta, Na mdada mgeni bila kujua akisikia ndoa anavua bila shida. Baadaye Tena anamwacha.A nafanya mchezo huu kisa aliumizwa nyuma.Makosa ya wengine yanahamishiwa kwa wanawake wengine.Wakipata mimba huyo huyo tena,anakuja kuanzisha thread kwamba ' masingle maza Sio'
Je wanawake wenzangu kifanyike kitu gani Na Je ukiwa.Na mpenzi hana matatizo ya Hapo juu ila hakujali kwa maana ya Huduma kisa unafanya kazi Na kwa kuwa humuombi pesa au Huduma yoyote Ndo kwanza anakusifia Eti ' you are a wife Material' Na wewe kwa kuwa unaogopa kubadilisha badilisha unakomaa Na shida zako maskini. Ivi akija tokea wa kukushika mkono atakuja lalamika kweli???
Mbona hawa wanaume wanajisahau sana?? Halafu wanaume wabahili wana Mawivuuu hatari.Eti nikuhudumie Mimi baba ako? Ndo maneno yao.Haya kama Ni hivyo.Msilalamike.
Narudia swali kwa wanawake wenzangu.Wanaume wa hivi Huwa mnawafanyaje?? Na Je kazi ya Mwanaume kwa mwanamke Ni nini hasa_????? Majibu.
Huwa hatupati, kwahiyo muache kututumia.Daah!! Nyie kinadada
Hivi hii kauli eti "wanatutumia kama chombo cha starehe" mnakuwa na maana gani hasa??
Hivi kwani nyinyi huwa hamustarehe katika ule mchezo??
Inamaana nyie kwenu ule mchezo ni karaha kwenu.???
Mnipe majibu hapa sio kila siku mnatulalamikia tu bila sababu wakati hiyo kitu imeumbwa kwa ajili ya kazi hiyo.
Sasa sijui wivu unakuwa wa nini wakati hawajiongezi, mfyuuuuu!Hapo pa wanaume wabahili{mkono wa birika} eana wivu balaa, naunga mkono hoja.
Ule mchezo ni mzuri kaka angu na haukuna raha kama ile duniani![emoji12]Daah!! Nyie kinadada
Hivi hii kauli eti "wanatutumia kama chombo cha starehe" mnakuwa na maana gani hasa??
Hivi kwani nyinyi huwa hamustarehe katika ule mchezo??
Inamaana nyie kwenu ule mchezo ni karaha kwenu.???
Mnipe majibu hapa sio kila siku mnatulalamikia tu bila sababu wakati hiyo kitu imeumbwa kwa ajili ya kazi hiyo.
Nimekuelewa sana mamii!Ni Ivi.Badala ya uwe Na mmoja mjenge familia Kimara Na kuvumiliana Wakati wa shida Na raha.Wewe unamjaza mimba, angali anarambaramva malimao Na kichefuchefu unatunga uongo' jeuri, ana kiburi, anaomba hela sana. N.k.Unamtelekeza unaenda kwa ' she' mwingine.Nako unatoa kasorooooo.Unawapitia kama 10 kwa mwaka.Hapa Ndo ' dhana ya ' kama chombo cha starehe!!!!! Why doing this to Innocent women?????
Rubii..Umeona akiri za Hawa ndugu zetu? Wanakimbia majukumu.Na sisi akili ze mukichwa
Wanaume wanakosa mafunzo ya namna ya kuishi,kumlea na kumuelewa mwanamke.Mi naamini sisi wanawake ni viumbe dhaifu sana mbele yenu kama tu wanaume mtafanya jitihada za dhati kutuelewa.But..Causative wa mateso mengi Ni Mwanaume.Ebu fanyeji kama forum ya Wanaume mjirekebishe.Mnawaliza sana wanawake.Hatukatai.Kuna makosa wadada, wamama wanatenda but fatiliaaaa chanzo.Ni ninyiiiii!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaani mi siwaelewagi kabisa yaani.Sasa sijui wivu unakuwa wa nini wakati hawajiongezi, mfyuuuuu!
Usijali.Wangu muda huu hayupo kasafiri.Usihofu.Ila kwa nini mnatesa wanawakeeee! Enyi viumbe!!!!
Wewe dada kama umeolewa naamini ndoa yako itakuwa ya mfano wa kuigwa. Yaani kifupi upo vizuri "upstairs" na unajua maisha ya mahusiano yanavyotakiwa though huwezi kuwa perfect kwa 100% ila upo vizuri.Dada angu..Saula hili ni janga la dunia.kwa upande wangu mimi sipendi sana kugeneralize viti kama hivi.Kawa sababu hata sisi wanawake pia kuna wengine ni hatari.Nlishawahi kukutana na mwanamke anamnyanyasa mumewe hadi nikatamani anigawie mimi huyo kaka.Nachojaribu kusema ni kuwa sio wanaume wote na wala sio wanawake wote Shida ni moja wengi wanao oana hawaoani kwa kuwa wanapendana kwa dhati(na maanisha mapenzi hasa)siku hizi wanaume wanaoa eti kwa kuwa kakutana na wife material na sisi wanawake nao tunaolewa kwa kuwa fulani na fulani walisha olewa au kwa kuwa kuolewa ni lazima .Matokeo yake ndo hayo.Lakini kama ndoa zingekuwa kwa mtindo wa mapenzi ya dhati yote hayo yasingekuwepo.
Nini kifanyike,?Mimi na wewe na yule sasa tuanze kuwa tunawafundisha watoto wetu kuwa na mapenzi ya dhati,nina imani ukimfundisha wako na mimi nikamfundisha wangu wakija kukutana ..Swadakta!