Wewe dada kama umeolewa naamini ndoa yako itakuwa ya mfano wa kuigwa. Yaani kifupi upo vizuri "upstairs" na unajua maisha ya mahusiano yanavyotakiwa though huwezi kuwa perfect kwa 100% ila upo vizuri.
Mungu akusimamie vema na pia kama kuna kasoro au tatizo na mumeo "KAA NAE CHINI, MUONGEE KWA UTARATIBU MYAMALIZE", naamini hilo litafanya uwe mwanamke wa shoka zaidi na hubby wako atazidi kuwa proud of you forever.
Kumbe kuna wanaume wana bahati yakupata wanawake vichwa aiseee!
Hili wazo kila mwanamke huwa nalo pale mambo yanapomuendea Kombo
Hahahaaaaa!!! Jibu matratraaaaa!Usijaliii View attachment 524575
Nilichogundua.Ninyi Wanaume mkisapotiwa kuhusu kutomhudumia mwanamke.naona Ndo safiiii.Je anajua kama hapa Duniani mliletwa kwa makusudi hayo au ndo mnajitoa ufahamu tu hapa.Eti unasifia kabisa.Kwa hiyo.unakwepa majukumu Mungu aliyowapa????Halafu ukifuatilia kwa undani.Sisi wanawake Hata hatutakagi makuu.Mfano ukitenga Elfu 50 kwa mwezi ya kumsopusupo bi Dada Hata kichwani tu kwingine atajihudumia hutajengaaa??mbona chakula Unakuja..Mbona budget zingine zote u napanga Na kutoa.Hiyo tu unaona Choyo ,tatizo ukianza kuona unachunwa Sijui sitajenga Basi Ni sumu.Ila ukijiwekea kwamba.Ni wajibu Wangu kumsaport mama watoto au mpenzi au mchuchu kama mnavyoitaga.Hautaumia.Kwanza maana halisi ya Mapenzi Ni kuenziwa.Mbona nyie tukiwanunuliaga Mfano Boxes, masharti au vitu au sandals kwa Mshahara yetu mnasifiaaa.Why nyie miezi 5 inapita Baba au kijana wa kiume umekaukaaa mithiri ya mti wa mbuyu mzee.hujiongezi.na kwa nini ikuume kumpendezesha mpenzi wako??akipendeza kwa jitihada zake wivuuu,akikuomba unachukiaa.Why don't you be part of her smile??Kwanza ninavyojua.Mwanaume anakuwa so proud anapomfanya mwenzi wake kuwa Na furaha.Yaani.Mimi Nina ninyi Wanaume.msiojielewa.Wanaume wabahili.Mpaka somo hili liwaingieee vichwani Mwenu!!cc The Boss.Wewe dada kama umeolewa naamini ndoa yako itakuwa ya mfano wa kuigwa. Yaani kifupi upo vizuri "upstairs" na unajua maisha ya mahusiano yanavyotakiwa though huwezi kuwa perfect kwa 100% ila upo vizuri.
Mungu akusimamie vema na pia kama kuna kasoro au tatizo na mumeo "KAA NAE CHINI, MUONGEE KWA UTARATIBU MYAMALIZE", naamini hilo litafanya uwe mwanamke wa shoka zaidi na hubby wako atazidi kuwa proud of you forever.
Kumbe kuna wanaume wana bahati yakupata wanawake vichwa aiseee!
Ze papuchi is noti richabo nao!!Wewe Espy umemuelewaaaa.Au anatutetaaa kidizaini
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nilichogundua.Ninyi Wanaume mkisapotiwa kuhusu kutomhudumia mwanamke.naona Ndo safiiii.Je anajua kama hapa Duniani mliletwa kwa makusudi hayo au ndo mnajitoa ufahamu tu hapa.Eti unasifia kabisa.Kwa hiyo.unakwepa majukumu Mungu aliyowapa????Halafu ukifuatilia kwa undani.Sisi wanawake Hata hatutakagi makuu.Mfano ukitenga Elfu 50 kwa mwezi ya kumsopusupo bi Dada Hata kichwani tu kwingine atajihudumia hutajengaaa??mbona chakula Unakuja..Mbona budget zingine zote u napanga Na kutoa.Hiyo tu unaona Choyo ,tatizo ukianza kuona unachunwa Sijui sitajenga Basi Ni sumu.Ila ukijiwekea kwamba.Ni wajibu Wangu kumsaport mama watoto au mpenzi au mchuchu kama mnavyoitaga.Hautaumia.Kwanza maana halisi ya Mapenzi Ni kuenziwa.Mbona nyie tukiwanunuliaga Mfano Boxes, masharti au vitu au sandals kwa Mshahara yetu mnasifiaaa.Why nyie miezi 5 inapita Baba au kijana wa kiume umekaukaaa mithiri ya mti wa mbuyu mzee.hujiongezi.na kwa nini ikuume kumpendezesha mpenzi wako??akipendeza kwa jitihada zake wivuuu,akikuomba unachukiaa.Why don't you be part of her smile??Kwanza ninavyojua.Mwanaume anakuwa so proud anapomfanya mwenzi wake kuwa Na furaha.Yaani.Mimi Nina ninyi Wanaume.msiojielewa.Wanaume wabahili.Mpaka somo hili liwaingieee vichwani Mwenu!!cc The Boss.
Haaa haaaa haaaa Simba jike usiwafanyie hivyo jamani.Tuwaelimishe tu mdogo mdogo kwa busara wataelewa.Wakileta ubahili kwa wallet na sie tuwabanie vichongeo vyetu...kuhusu mimba zuia na p2 ndani ya saa 72 au tumia uzazi wa mpango,kutembea na tumbo miezi tisa sio kazi rahisi,uzae uanze kulea,bado akunyanyase loh! Naona hayo mapumbu utakuwa umeyachoka kuyaning'iniza nitakusaidia kuyabanika
Wanawake wenzio wanakucheka! Wanasema hiviFatilia.Mwanamke akimpenda Mwanaume anatulia Tena sana, Mapenzi ya wanawake yapo moyoni.Tofauti Na ninyi yapo machoni( ninyi mnatamani tu kwanza)Kwa nn mwanamke anaanza kubadilika Bdy? Ni kutokana Na mabadiliko anayoanza nayo Mwanaume Baada ya kuanza kuhangaika Na michepuko Na kumpuuzia. Mapenzi ya mwanzo Mwanaume anayaamishia kwa michepukwaaa!sasa huku Na huku. Changes zinaanza.Ushauri.Wanaume badilikeni.Mtaona mambo yanatulia.Mwanamke ukimpatia hakika utaishi Paradiso angali upo Duniani.Kwa sababu kama tabia hizo utamfanyia mwanamke huyu, unakimbia unaenda kwa mwingine unafanya the same, mwisho wa siku utawachukia wanawake maana wanawake wana hulka moja.Jitahidini kuwaenzi wake/ wapenzi Wenu.
Hujapata mkunaji.Ule mchezo ni mzuri kaka angu na haukuna raha kama ile duniani![emoji12]
lakini Wanawake huwa hautuwazishi,yaani hautufikirishi!Na ndio maana ni rahisi kwa mwanamke kukaa mwaka mzima bila kuucheza na inaweza kuwa ngumu kwa mwanamume.Na kwa sababu hiyo mwanamke anaweza cheza mechi hata ishirini asifike,,Lakini mwanamume anaweza funga goli hata ndotoni. Ni nature tu mpendwa wangu.
hahaaaaa...Hujapata mkunaji.
Kweli tupu. Mechi 20?hahaaaaa...
Wasalaam!
Kutokana Na malalamiko mengi mengi ya mahusiano Nimegundua ya kwamba matatizo mengi yanatokana Na wanaume.
Kwanza kabisa Ni kutojali kwao pia Na kuwachukulia wanawake kama vyombo vya starehe, kwamba anaweza akamchukua huyu, akamwacha. Hata kwa kosa Dogo, anatafuta sababu anaenda tongoza kwingine Na ahadi za ndoa fasta, Na mdada mgeni bila kujua akisikia ndoa anavua bila shida. Baadaye Tena anamwacha.A nafanya mchezo huu kisa aliumizwa nyuma.Makosa ya wengine yanahamishiwa kwa wanawake wengine.Wakipata mimba huyo huyo tena,anakuja kuanzisha thread kwamba ' masingle maza Sio'
Je wanawake wenzangu kifanyike kitu gani Na Je ukiwa.Na mpenzi hana matatizo ya Hapo juu ila hakujali kwa maana ya Huduma kisa unafanya kazi Na kwa kuwa humuombi pesa au Huduma yoyote Ndo kwanza anakusifia Eti ' you are a wife Material' Na wewe kwa kuwa unaogopa kubadilisha badilisha unakomaa Na shida zako maskini. Ivi akija tokea wa kukushika mkono atakuja lalamika kweli???
Mbona hawa wanaume wanajisahau sana?? Halafu wanaume wabahili wana Mawivuuu hatari.Eti nikuhudumie Mimi baba ako? Ndo maneno yao.Haya kama Ni hivyo.Msilalamike.
Narudia swali kwa wanawake wenzangu.Wanaume wa hivi Huwa mnawafanyaje?? Na Je kazi ya Mwanaume kwa mwanamke Ni nini hasa_????? Majibu.
Pole sana dear. Usiyachukie Mapenzi .Wanaume wazuri Wapo.Shubamiti Ndo nini dearasante kwa kuwaambia wanaume ukweli...inawezekana ni kweli nina kazi nzuri lakin nisikuombe pesa maana najimudu lakin hunijali hata ile kutuma sms au kupiga simu kunijulia hali ni kazi ? maranyingi wanawake ndio tumekuwa maphone caller wa wananume unampigia kila wakati lakin kila kilicho na mwanzo hakikosi kuwa na mwisho ..mwanaume asiyenipa muda wake na kunijali huwa namwangalia tu nafanya yangu siku akili ikizinduka hataniona tena..Mimi hata usiponipa hela lakini jua kuwa mwanamke anahitaj muda wako na umjali hata sms kwa wiki mara mbili inaonyesha unajali sasa mwezi mzima mim nakupigia tu...shubamiti,,,! kuna wanaume wanabahati ya kupendwa lakin hawapendeki wanaona tunawangangania ..NDO MAANA NAYACHUKIA MAPENZI