Mu-ArsenalWanawake wenzangu tuambiane kweli ya moyoni mwanaume yupi mwenye mvuto kwako wa humu jf?
Unavutiwa na nini kwake, tuwe wakweli na wa wazi.
Binfsi navutiwa sana na mapanga3, kinachonivutia ni namna anavyopost nilifanya juhudi binafsi mpaka nikabahati kumuona kiukweli ni mtu anayejielewa na mwenye msimamo sana nilijaribu kumchomekea mambo fulani kabla sijaolewa lkn akanijibu kwa upole im sorry nafasi imejaaa. Nawewe mwenzangu emu funguka.
Nanyie mna kiherehere wameulizwa wanawake mnakimbilia nyinyi mtavikwa madelaHaahah!!, nataka nimuone anaenizimikia humu jf[emoji85] [emoji85]
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
navutiwa na comment zamr interesting aka the boss comment zake zinafurahishaWanawake wenzangu tuambiane kweli ya moyoni mwanaume yupi mwenye mvuto kwako wa humu jf?
Unavutiwa na nini kwake, tuwe wakweli na wa wazi.
Binfsi navutiwa sana na mapanga3, kinachonivutia ni namna anavyopost nilifanya juhudi binafsi mpaka nikabahati kumuona kiukweli ni mtu anayejielewa na mwenye msimamo sana nilijaribu kumchomekea mambo fulani kabla sijaolewa lkn akanijibu kwa upole im sorry nafasi imejaaa. Nawewe mwenzangu emu funguka.
kwani na wewe mwanamke??Nanyie mna kiherehere wameulizwa wanawake mnakimbilia nyinyi mtavikwa madela
Tulia mtt..Nanyie mna kiherehere wameulizwa wanawake mnakimbilia nyinyi mtavikwa madela
Dah The Boss wa kwanza.atoto joanah Sweetiepie venossah irk Dinazarde miss_blossom LadyAJ Hivi nyote nyie hakuna anaenizimikia kweliiii???
taja mtuNa enjoy sanaaaa jf