BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Ni bora uwe na miaka 22 halafu uwe unafanya na kusema haya,kama una 35 years na uko hivo,hatari!
hata 20 hajafika huyu ila amekuwafrustrated, huruma!
Watu wananishambulia .mwanaume pesa ndio maana mna chitiwa.elimu muhimu lakini iwe inaingiza pesa .