Na wanaume je hawahitaji hii kozi??? Hawajabadilika hao wanaume wa hapo ofisini????
hii kozi ipo wapi???
Watu wa taaluma gani wanasoma????
Ofisini kuna wataalamu wa masuala ya customer
care wameletwa kuja kuwafundisha wafanyakazi
wa idara zote suala zima la customer care,
mabadiliko yaliyojitokeza hasa kwa wanawake
kuanzia jinsi wanavyokea simu,mpaka wanavyoongea.
nimekuwa convinced kuwa hizi kozi za customer
care zinatakiwa kwa kila mwanamke,hata kama
ni housewife........
ha ha ha
actually nilitegemea hili swali....
mabadiliko yapo pia kwa wanaume but....
wanawake yamewafanya wavutie zaidi...
wanaume wanakwenda hivyo hivyo kiubishi ubishi...
wanawake wanakuwa na ka mvuto hivi....
Mm nafundisha that coz,maana wanaume handling care to most of them ni 0
mimi ningependa unifundishe..
Hebu nipe arrangement zako....
we hujawahi vutiwa na mtu kwa jinsi
alivyoongea na wewe kwenye simu?????
au mazungumzo ya kiofisi tu?
Ahaa kumbe hivyo ishawahi kutokea na bado inatokea sana tu. kwa hiyo jinsi anavyozungumza na wewe mteja wapata kuvutiwa nawe si ndio kama ni kibiashara au mambo mengine. Kwa hiyo Boss wewe ushavutiwa tayari??
mimi sijafeli .
Ila ningependa kuongeza ujuzi.
Wewe njoo pm.basi
Unaona sasa?yani mpaka hapo handling care yako 0 unamuita mwl wako njoo?use polite language plz ticha ni pm basi,hapo utakuwa unaanza kujifunza handling sawa mwanafunzi?
ok my dear teacher.
the thing is i am used to call people..to come to me.
i am the boss ,remember?????
DNT WORR STUDENT ZEA ARE AZAS ambao wameshindikana ww mbona bado?ntakuweza sana tu,ur ze boss agree but without a ticha u couldnt be a boss,rememba?am pearl means mo precious than Gold,Silver and others rememba?