Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
Kwasababu leo ni siku ya wanawake duniani naanza kwa kuwapongeza wanawake wooote wa hapa jamvini na uraiani ntawapa salamu zao kadiri ntakavyoweza.
Happy woman's day to all of you ladies. Being a woman might sometimes seem like a really hard task but we are gifted with all the strength, power, knowledge, beauty, caurage, patiance, love and kindness to make it . . .all we have to do is USE those things WELL.
I love being a woman, a woman is all I need to be.
Nwy......
Hamna msemo nisioupenda kama ule wa "WANAWAKE HAWAPENDANI" even though una ukweli mwingi ndani yake. Just last week nilikuwa najibishana na rafiki yangu kuhusu huo msemo, nikakataa katu katu kwamba sio wanawake wengi , na pia hata wanaume wapo wasiopendana vile vile. Siku ya pili nikiwa na rafiki yule yule tulikua tumesimama mahali tunasubiria kitu wakapita wadada wawili na wote nikawagonga na mfuko niliokua nau-swing back and forth. Wa kwanza akaniomba mimi samahani na mimi ni nikamwomba vile vile, yule wa pili nikamwomba mimi na rafiki yangu pamoja tukiwa tumepishana sekunde kadhaa, hakutikia yangu akaitikia ya rafiki yangu (mkaka). Bila kupanga nikajikuta nimesema tu "hmmmm mbona kapokea samahani yako na yangu kaiacha?!" .Rafiki yangu akasema "ahhhh we sinimeshakwambia hampendani!!!!?" Mwenyewe nikabaki kusema "I guess you were right" huku nikijisikia mnyonge kwa kuishia kukubali kitu ambacho binafsi hakinifurahishi.
Kinachonishangaza ni kwamba baadhi ya wanawake katika jamii yetu wanapenda sana kubwebwa (wale waosapoti msemo wa "TUKIWEZESHWA. . . . . " even though wako kwenye position za kujiwezesha wenyewe) , ila wanapomwona mwanamke mwingine amejiwezesha iwe ni kifedha, kielimu, kitaaluma au hata kisanaa wanaMCHUKIA badala ya kufurahi kwaajili yake, au hata kumuonea wivu na kujishughulisha kufika kule alipo yeye.
Ukiachilia mambo makubwa hayo kuna vile vitu vidogovidogo(Petty stuff) vinavyowasumbua baadhi yetu. Utakuta mtu hata hamfahamu mwenzie ila anasema "Yule fulani namchukia kweli." Ukimuuliza kwanini utasikia " Ahhhh anajisikia sana. Ona anavyovaa/ona hata tembea yake." n.k Yani mtu akivaa kiatu/nguo/panga nyumba/nunua gari ya ghali zaidi basi tabu. Akiwa na mume/mwenzi anaemheshimu, mjali na kumpenda/akiwa na familia inayoendelea vizuri kwa kila namna badala ya kumu-ADMIRE na kujifunza hili au lile toka kwake anamchukia. . .
Kwanini tunaona/fanyana maadui kwasababu ya jinsia? Yatupasa tujifunze kuchukua yale mazuri tunayoyaona/tamani kwa wenzetu na kuyatumia kama changamoto. Tuyatumie kufika walipo wao au hata mbali zaidi kama wafanyavyo wengi wa kaka zetu.
Usimchukie mwenzako kwa kuwa na kile unachotamani, acha majungu, umbea na mengine yote yasiyo na faida kisha ujishughulishe. Kama ni bahati kila mmoja amejaaliwa yake, ila hamna ambae inamfuata akiwa amelala, bali kila mmoja anatakiwa kukimbiza yake mwenyewe.
"Bahati ya mwenzio usinunie. . .tafuta yako".
Happy woman's day ladies. Be blessed!
Happy woman's day to all of you ladies. Being a woman might sometimes seem like a really hard task but we are gifted with all the strength, power, knowledge, beauty, caurage, patiance, love and kindness to make it . . .all we have to do is USE those things WELL.
I love being a woman, a woman is all I need to be.
Nwy......
Hamna msemo nisioupenda kama ule wa "WANAWAKE HAWAPENDANI" even though una ukweli mwingi ndani yake. Just last week nilikuwa najibishana na rafiki yangu kuhusu huo msemo, nikakataa katu katu kwamba sio wanawake wengi , na pia hata wanaume wapo wasiopendana vile vile. Siku ya pili nikiwa na rafiki yule yule tulikua tumesimama mahali tunasubiria kitu wakapita wadada wawili na wote nikawagonga na mfuko niliokua nau-swing back and forth. Wa kwanza akaniomba mimi samahani na mimi ni nikamwomba vile vile, yule wa pili nikamwomba mimi na rafiki yangu pamoja tukiwa tumepishana sekunde kadhaa, hakutikia yangu akaitikia ya rafiki yangu (mkaka). Bila kupanga nikajikuta nimesema tu "hmmmm mbona kapokea samahani yako na yangu kaiacha?!" .Rafiki yangu akasema "ahhhh we sinimeshakwambia hampendani!!!!?" Mwenyewe nikabaki kusema "I guess you were right" huku nikijisikia mnyonge kwa kuishia kukubali kitu ambacho binafsi hakinifurahishi.
Kinachonishangaza ni kwamba baadhi ya wanawake katika jamii yetu wanapenda sana kubwebwa (wale waosapoti msemo wa "TUKIWEZESHWA. . . . . " even though wako kwenye position za kujiwezesha wenyewe) , ila wanapomwona mwanamke mwingine amejiwezesha iwe ni kifedha, kielimu, kitaaluma au hata kisanaa wanaMCHUKIA badala ya kufurahi kwaajili yake, au hata kumuonea wivu na kujishughulisha kufika kule alipo yeye.
Ukiachilia mambo makubwa hayo kuna vile vitu vidogovidogo(Petty stuff) vinavyowasumbua baadhi yetu. Utakuta mtu hata hamfahamu mwenzie ila anasema "Yule fulani namchukia kweli." Ukimuuliza kwanini utasikia " Ahhhh anajisikia sana. Ona anavyovaa/ona hata tembea yake." n.k Yani mtu akivaa kiatu/nguo/panga nyumba/nunua gari ya ghali zaidi basi tabu. Akiwa na mume/mwenzi anaemheshimu, mjali na kumpenda/akiwa na familia inayoendelea vizuri kwa kila namna badala ya kumu-ADMIRE na kujifunza hili au lile toka kwake anamchukia. . .
Kwanini tunaona/fanyana maadui kwasababu ya jinsia? Yatupasa tujifunze kuchukua yale mazuri tunayoyaona/tamani kwa wenzetu na kuyatumia kama changamoto. Tuyatumie kufika walipo wao au hata mbali zaidi kama wafanyavyo wengi wa kaka zetu.
Usimchukie mwenzako kwa kuwa na kile unachotamani, acha majungu, umbea na mengine yote yasiyo na faida kisha ujishughulishe. Kama ni bahati kila mmoja amejaaliwa yake, ila hamna ambae inamfuata akiwa amelala, bali kila mmoja anatakiwa kukimbiza yake mwenyewe.
"Bahati ya mwenzio usinunie. . .tafuta yako".
Happy woman's day ladies. Be blessed!