Wanawakwa kwa Kujihami leo nimepigwa kitu kizito

Wanawakwa kwa Kujihami leo nimepigwa kitu kizito

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Ni muda huu huu kuelekea Weekend basi nikamcheki Mbinti mzuri ili nikale naye Supu ya Pweza.

Sasa ile nafika kwake ghafla bin vuu ananitambulisha.

Kwanza mimi sio mume wake, lakini ananitambulisha eti mimi mume wake kwa mdada mwingine mzuri sana mwenye shepu yake ndani ya Dira.

Sasa najiuliza mbona ameniwahi sana hivi? Ananiwekea vigingi? Mambo ya kutambulishana kwa namna hii ndio mara ya kwanza.
 
Ni muda huu huu kuelekea Weekend basi nikamcheki Mbinti mzuri ili nikale naye Supu ya Pweza.

Sasa ile nafika kwake ghafla bin vuu ananitambulisha.

Kwanza mimi sio mume wake, lakini ananitambulisha eti mimi mume wake kwa mdada mwingine mzuri sana mwenye shepu yake ndani ya Dira.

Sasa najiuliza mbona ameniwahi sana hivi? Ananiwekea vigingi? Mambo ya kutambulishana kwa namna hii ndio mara ya kwanza.
Hiyo ni Dawa nzuri sana
 
Ni muda huu huu kuelekea Weekend basi nikamcheki Mbinti mzuri ili nikale naye Supu ya Pweza.

Sasa ile nafika kwake ghafla bin vuu ananitambulisha.

Kwanza mimi sio mume wake, lakini ananitambulisha eti mimi mume wake kwa mdada mwingine mzuri sana mwenye shepu yake ndani ya Dira.

Sasa najiuliza mbona ameniwahi sana hivi? Ananiwekea vigingi? Mambo ya kutambulishana kwa namna hii ndio mara ya kwanza.
Weka picha
 
Back
Top Bottom