Kwekitui
JF-Expert Member
- Oct 29, 2017
- 1,070
- 1,083
WAJUE WANAWAKE 10 WAJINGA.
SAMAHANI KWA WALE NITAKAO WAKWAZA KWA POST HII..
(1)..Anaebadili jina mtandaoni na kujiita majina ya watu maarufu...Huyo NIMJINGA.
(2)Anaetoa mimba kisha analala na midoli huyo NIMJINGA
(3)Anaedate na mume wa mtu miaka nenda rudi na kuwakataa wanaotaka kumuoa huyo nae NIMJINGA.
(4)Anaeweka nywele bandia,kucha bandia,kope bandia ..alafu akiambiwa umependeza anasema asante...huyo nae NIMJINGA
(5) Anaebeba minguo ya bwana wake na kwenda kuifua hali ya kuwa anajua huyo bwana ni mume wa mtu...huyo ni NIMJINGA.
(6)Anaemkataa mwanaume anaetaka kumuoa kwa ajili ya bishoo wa kwenda nae club kila siku....huyo nae NIMJINGA.
(7)Anaetoroka kwao na kwenda kulala gest na bwana na asubuhi anaambiwa hapa sina hela iliyobaki naenda kumpa Mke wangu na akakubali...huyo nae NIMJINGA.
(8)Mwanamke ambae hamiliki hata kitanda kisha anataka mwanaume mwenye gari huyo nae NIMJINGA
(9)Anasema anaficha sehemu zake za siri wakati ameshalala na wanaume zaidi ya 10 huyo nae NIMJINGA..
(10)Anaeenda kwenye nyumba ya ibada huku amevaa sketi fupi alafu njia nzima anaishusha ili magoti yasionekane huyo nae NIMJINGA..
Waweza kuongezea hapo kama kuna wengine wenye tabia chafu
Sent using Jamii Forums mobile app
SAMAHANI KWA WALE NITAKAO WAKWAZA KWA POST HII..
(1)..Anaebadili jina mtandaoni na kujiita majina ya watu maarufu...Huyo NIMJINGA.
(2)Anaetoa mimba kisha analala na midoli huyo NIMJINGA
(3)Anaedate na mume wa mtu miaka nenda rudi na kuwakataa wanaotaka kumuoa huyo nae NIMJINGA.
(4)Anaeweka nywele bandia,kucha bandia,kope bandia ..alafu akiambiwa umependeza anasema asante...huyo nae NIMJINGA
(5) Anaebeba minguo ya bwana wake na kwenda kuifua hali ya kuwa anajua huyo bwana ni mume wa mtu...huyo ni NIMJINGA.
(6)Anaemkataa mwanaume anaetaka kumuoa kwa ajili ya bishoo wa kwenda nae club kila siku....huyo nae NIMJINGA.
(7)Anaetoroka kwao na kwenda kulala gest na bwana na asubuhi anaambiwa hapa sina hela iliyobaki naenda kumpa Mke wangu na akakubali...huyo nae NIMJINGA.
(8)Mwanamke ambae hamiliki hata kitanda kisha anataka mwanaume mwenye gari huyo nae NIMJINGA
(9)Anasema anaficha sehemu zake za siri wakati ameshalala na wanaume zaidi ya 10 huyo nae NIMJINGA..
(10)Anaeenda kwenye nyumba ya ibada huku amevaa sketi fupi alafu njia nzima anaishusha ili magoti yasionekane huyo nae NIMJINGA..
Waweza kuongezea hapo kama kuna wengine wenye tabia chafu
Sent using Jamii Forums mobile app