Wanayanga mkajibu swali la CAF

Kwamba Team haijaingia hatua ya makundi kwa muda ambao ni sawa na miaka aliyokufa Mwl.Nyerere? [emoji16]
 
Mi nilijua utaandika simba ilianza hii tabia miaka ya 2000 kushuka chini kumbe hapo juzi tu
 
Habari za majukumu mashabiki na wapenzi wa soka nchini Tanzania na Africa mashariki kwa jumla naamini niwazima na wale wenye changamoto mungu awasaidie na kuwafanyia wepesi.
...
Hongera sana kwa timu ya simba kusaidia kupeleka timu nne kwenye mashindano hayo ya kimataifa. Mna stahili pongezi kwa hilo kwa kweli.

Ila kushiriki tu mashindano bila kutwaa ubingwa haina maana. Ipo haja ya timu zetu za Tanzania kujipanga sana kuweza kufanya vizur kimataifa.

Kushiriki na kuishia hatua fulani sijui robo, nusu fainali au hata fainali bila kutwa kombe si lolote wala pia sio kitu cha kujisifia sababu lengo la kushiriki mashindano sio kuwa wa pili au wa tatu, ni kuwa namba moja.

Ipo haja ya kulitambua hilo, mimi kama mwana Yanga hata tukiwa tunafika fainali kila mwaka bila kutwaa kombe siwezi kujisifu kwa hilo hata mara moja, ila nitakua tu na matumaini kuwa kwa sababu nafika fainali mara nyingi ipo siku nitashinda. Sitaweza kujisifia kwa hayo matumaini mpaka yatimie.

So watu wote tunyamaze tu maana ni aibu kwa kweli, sio Simba sio Yanga sio yeyote ana cha kujisifia hapo mpaka tutwae huo ubingwa siku moja, then tunaweza brag about it kwa namna yoyote. Kwa sasa wote ni sawa tu hakuna wa kumtambia mwezie awe anatolewa kwenye hatua za mwanzo au anafika fainali kila mwaka, wote hakuna aliyetwaa hilo kombe.
 
Hongera sana kwa timu ya simba kusaidia kupeleka timu nne kwenye mashindano hayo ya kimataifa. Mna stahili pongezi kwa hilo kwa kweli...
Kila kitu ni project kama hauna project kwenye soka la hakuna kitakachoenda kwa hyo kila kitu ni process mi nimetolea mfano na kwenye mafanikio kuna stage tofauti tofauti na simba imeshazienyesha kwenye Caf champions league tofauti na yanga.
 
Huwa ninawashangaa sana na kuwacheka mashabiki wa aina yako lakini napata wasiwasi kwa sababu nahisi nyie mmeanza kushabikia mpira juzi juzi...
Mashabiki na viongozi wa yanga pale walipo mda huu wote wana vinyesi ila nahisi cha kwako kimehamia kichwani.
 
Kila kitu ni project kama hauna project kwenye soka la hakuna kitakachoenda kwa hyo kila kitu ni process mi nimetolea mfano na kwenye mafanikio kuna stage tofauti tofauti na simba imeshazienyesha kwenye Caf champions league tofauti na yanga.
My point is, u still cant brag about that! Tulia malizia process yako then anza kujitapa sasa.
 
My point is, u still cant brag about that! Tulia malizia process yako then anza kujitapa sasa.
Kwa hyo nikimaliza degree yangu niliyoipata pale sua nisifanye graduation mpaka nipate kazi ya uhakika si ndio hvyo?

Yanga wenye akili ni wawili tu.
 
Kwa hyo nikimaliza degree yangu niliyoipata pale sua nisifanye graduation mpaka nipate kazi ya uhakika si ndio hvyo?

Yanga wenye akili ni wawili tu.
Hahaha sasa naona tatizo liko wapi hapa. Yani kweli unataka kusema aim ya kwenda kusoma degree ni kupata kazi? Ndio maana mimi na wewe hatuwezi kuelewana.

Hapo aims zipo mbili tofauti, first kupata degree ukikamilisha hiyo fanya sherehe maana umetimiza lengo.

Aim nyingine ni kutafuta kazi, ukipata fanya sherehe maana umetimiza lengo.

Unakosea sana ukichanganya lengo la kupata degree na kupata kazi kama lengo moja. Na ndio maana huelewi napokuelezea hayo ya timu ya Simba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…