kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,064
- 4,056
Acha kutumia Tecno[emoji3][emoji3]
Huwa nahisi wanayanga mnaonewa ila kumbe ni nyie ndo mnazingua.
Kabla ya game ya Leo mlisema Mnyama atakufa goli nyingi tu, baada ya game mmebadiri gia angani kwa kudai Wydad huwa hatilii maanani game za away.
Mnazingua sana, ifikie stage mkubali TU kuwa Mnyama Yuko vizuri.
Acha tusubili hiyo game mnayoisemea.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Tumeshawazoea hao[emoji3][emoji3]
Huwa nahisi wanayanga mnaonewa ila kumbe ni nyie ndo mnazingua.
Kabla ya game ya Leo mlisema Mnyama atakufa goli nyingi tu, baada ya game mmebadiri gia angani kwa kudai Wydad huwa hatilii maanani game za away.
Mnazingua sana, ifikie stage mkubali TU kuwa Mnyama Yuko vizuri.
Acha tusubili hiyo game mnayoisemea.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mbona nyinyi mlisema Tp mazembe mbovu kisa kufungwa na yanga?? Why hamkumpongeza Yanga?? Simba na yanga wote hamna mwenye unafuu kwenye unazi usio na uhalisia.[emoji3][emoji3]
Huwa nahisi wanayanga mnaonewa ila kumbe ni nyie ndo mnazingua.
Kabla ya game ya Leo mlisema Mnyama atakufa goli nyingi tu, baada ya game mmebadiri gia angani kwa kudai Wydad huwa hatilii maanani game za away.
Mnazingua sana, ifikie stage mkubali TU kuwa Mnyama Yuko vizuri.
Acha tusubili hiyo game mnayoisemea.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Rage alishasema na kauli yake inaishi milele. Na ikumbukwe kauli ya mwenyekiti ni sheria hakuna kocha Wala mtu yoyote wa kupinga na kubadili kauli hiyo.Kwani idadi ya wenye akili imeongezeka lini?
Mmoja kaongezeka haji manara.Kwani idadi ya wenye akili imeongezeka lini?
Mchungaji mashimoNachosubir ni utabiri wa Nabii wa mchongo utimie Yanga mdomo upoe
Sio poa. Unatutukana wengi.Acha kutumia Tecno
mazembe amefungwa na kila mtu kwenye group lake, kamaliza na point 3!Mbona nyinyi mlisema Tp mazembe mbovu kisa kufungwa na yanga?? Why hamkumpongeza Yanga?? Simba na yanga wote hamna mwenye unafuu kwenye unazi usio na uhalisia.
Kwani uongo kuwa mazembe nbovu?Mbona nyinyi mlisema Tp mazembe mbovu kisa kufungwa na yanga?? Why hamkumpongeza Yanga?? Simba na yanga wote hamna mwenye unafuu kwenye unazi usio na uhalisia.
Cha kuiga ni nini sasa[emoji3][emoji3]
Huwa nahisi wanayanga mnaonewa ila kumbe ni nyie ndo mnazingua.
Kabla ya game ya Leo mlisema Mnyama atakufa goli nyingi tu, baada ya game mmebadiri gia angani kwa kudai Wydad huwa hatilii maanani game za away.
Mnazingua sana, ifikie stage mkubali TU kuwa Mnyama Yuko vizuri.
Acha tusubili hiyo game mnayoisemea.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app