mwanapolo
Senior Member
- Mar 29, 2011
- 193
- 56
Wana Yanga wenzangu, nafikiri umefika wakati sasa wa kubadili rangi ya uzi wetu ili uendane na wakati bila kubagua utashi wa mtu.
Nimeamua kutoa dukuduku langu hilo kwani inamuwia vigumu sana mpenzi wa chama cha upinzani kuvaa jezi ya Yanga mtaani. Kama ilivyo rangi ya jezi zetu ndio rangi inayotumiwa pia na chama cha Magamba.
Kwa mapendekezo yangu ni kuwa tutumie jezi ya rangi ya njano tukiwa nyumbani na jezi ya mchanganyiko wa njano na nyeusi tukiwa ugenini. Bendera zetu, rangi ya jengo, rangi ya kadi na vitu vingine vibaki kama vilivyo kwani tusipoteze kabisa asili ya rangi yetu.
Nakumbuka hata tumempoteza mwanachama wetu ambaye ni Mbunge wa ubungo kwa ajili ya rangi ya jezi na ushangilaji wetu.
Mungu ibariki Yanga Afrika, Mungu ibariki Taifa Star
Nimeamua kutoa dukuduku langu hilo kwani inamuwia vigumu sana mpenzi wa chama cha upinzani kuvaa jezi ya Yanga mtaani. Kama ilivyo rangi ya jezi zetu ndio rangi inayotumiwa pia na chama cha Magamba.
Kwa mapendekezo yangu ni kuwa tutumie jezi ya rangi ya njano tukiwa nyumbani na jezi ya mchanganyiko wa njano na nyeusi tukiwa ugenini. Bendera zetu, rangi ya jengo, rangi ya kadi na vitu vingine vibaki kama vilivyo kwani tusipoteze kabisa asili ya rangi yetu.
Nakumbuka hata tumempoteza mwanachama wetu ambaye ni Mbunge wa ubungo kwa ajili ya rangi ya jezi na ushangilaji wetu.
Mungu ibariki Yanga Afrika, Mungu ibariki Taifa Star