Sodoku
JF-Expert Member
- Feb 3, 2016
- 1,271
- 2,903
Nlikuwa nawasiliana na jamaa flan yupo FIFA anasema Yanga ina uwezo mkubwa wa kuendelea mbele kwenye ushiriki wa Kombe hili ikiwa jambo hili litatokea.
Tuchukulia mechi ijayo Mo bejaija na Mediama watakapokuwa wanapambana. Wakakasirishwa na Refarii na kuamua kumpiga. Team hizi mbili zitatotelewa na hivyo kwenye hilo kundi itabaki TP Mazembe na Yanga tu na hivyo ikasonga mbele.
Tuchukulia mechi ijayo Mo bejaija na Mediama watakapokuwa wanapambana. Wakakasirishwa na Refarii na kuamua kumpiga. Team hizi mbili zitatotelewa na hivyo kwenye hilo kundi itabaki TP Mazembe na Yanga tu na hivyo ikasonga mbele.