wachezaji wa Yanga hawajalipwa mshahara wewe umeshachangia sh ngapi? Au kazi yako ni kupiga makelele tu hukuManji kafanya sehemu yake tusimbeze lakini Yanga itasonga mbele kwa kasi zaidi
Up todate fees za uanachama ni mchango tosha kama mwanachamawachezaji wa Yanga hawajalipwa mshahara wewe umeshachangia sh ngapi? Au kazi yako ni kupiga makelele tu huku