Kwa huzuni kubwa leo naomba kwa mara nyingine niwakilishe kadhia wanayopitia wakazi wa Mbopo kata ya Mabepwande kufuatia ubovu wa miundombinu kwenye kata hii iliyo kwenye jimbo la kawe!
Tangu mvua ya December 2023 mpaka January 2024 iliyoharibu kabisa barabara na miundombinu katika kata hii, nasikitika kusema 90% ya athari hizi hazijarekebishwa!
Leo nimeshuhudia namna watoto/wanafunzi wanavovushwa kwenye moja ya bonde ambalo kiunga/daraja lake lilisombwa na maji mwezi Januari! Aisee ni huruma na hatari! Watoto hawa wanabebwa migongoni na kuvushwa na vijana wanaojitolea!
Hili eneo ni moja ya eneo korofi, ubovu wake unafahamika na ofisi ya mbunge wa kawe, meneja TARURA mkoa, na hata ofisi ya wizara ya ujenzi lakini cha ajabu hakuna hatua yeyote iliyochukuliwa!
Wananchi wa eneo hili wanadai walishawai kuchanga pesa ili kujenga karavati lakini wanadai mbunge alikuja akawambia serikali itajenga hivyo wakarudishiwa pesa zao, cha ajabu hakuna ujenzi wowote uliofanyika!
Swali langu, je serikali inasubiri mpaka watoto wasombwe na maji waje kuaga miili na makamera kama kawaida yao au? Hii ni aibu, mkoa wa Dar es salaam uko hivi, mkoani je?
Kwa huzuni kubwa leo naomba kwa mara nyingine niwakilishe kadhia wanayopitia wakazi wa Mbopo kata ya Mabepwande kufuatia ubovu wa miundombinu kwenye kata hii iliyo kwenye jimbo la kawe!
Tangu mvua ya December 2023 mpaka January 2024 iliyoharibu kabisa barabara na miundombinu katika kata hii, nasikitika kusema 90% ya athari hizi hazijarekebishwa!
Leo nimeshuhudia namna watoto/wanafunzi wanavovushwa kwenye moja ya bonde ambalo kiunga/daraja lake lilisombwa na maji mwezi Januari! Aisee ni huruma na hatari! Watoto hawa wanabebwa migongoni na kuvushwa na vijana wanaojitolea!
Hili eneo ni moja ya eneo korofi, ubovu wake unafahamika na ofisi ya mbunge wa kawe, meneja TARURA mkoa, na hata ofisi ya wizara ya ujenzi lakini cha ajabu hakuna hatua yeyote iliyochukuliwa!
Wananchi wa eneo hili wanadai walishawai kuchanga pesa ili kujenga karavati lakini wanadai mbunge alikuja akawambia serikali itajenga hivyo wakarudishiwa pesa zao, cha ajabu hakuna ujenzi wowote uliofanyika!
Swali langu, je serikali inasubiri mpaka watoto wasombwe na maji waje kuaga miili na makamera kama kawaida yao au? Hii ni aibu, mkoa wa Dar es salaam uko hivi, mkoani je? View attachment 2968612 View attachment 2968614
More than 190 billion shillings zimetengwa kwa ajili ya magari ya kifahari ya RAC, DED, DAS, RC, DC. huku wananchi na watoto wao wakiumia kwa maisha duni.
Kiukweli wananchi tuweni wapole within hii miaka miwili, vipaumbele vilivyopo kwa sasa ni tofauti na matarajio yetu. Watu waache kuwaza namna ya kubaki madarakani wakakuwaze ww wa kawe.
More than 190 billion shillings zimetengwa kwa ajili ya magari ya kifahari ya RAC, DED, DAS, RC, DC. huku wananchi na watoto wao wakiumia kwa maisha duni.
Kwa huzuni kubwa leo naomba kwa mara nyingine niwakilishe kadhia wanayopitia wakazi wa Mbopo kata ya Mabepwande kufuatia ubovu wa miundombinu kwenye kata hii iliyo kwenye jimbo la kawe!
Tangu mvua ya December 2023 mpaka January 2024 iliyoharibu kabisa barabara na miundombinu katika kata hii, nasikitika kusema 90% ya athari hizi hazijarekebishwa!
Leo nimeshuhudia namna watoto/wanafunzi wanavovushwa kwenye moja ya bonde ambalo kiunga/daraja lake lilisombwa na maji mwezi Januari! Aisee ni huruma na hatari! Watoto hawa wanabebwa migongoni na kuvushwa na vijana wanaojitolea!
Hili eneo ni moja ya eneo korofi, ubovu wake unafahamika na ofisi ya mbunge wa kawe, meneja TARURA mkoa, na hata ofisi ya wizara ya ujenzi lakini cha ajabu hakuna hatua yeyote iliyochukuliwa!
Wananchi wa eneo hili wanadai walishawai kuchanga pesa ili kujenga karavati lakini wanadai mbunge alikuja akawambia serikali itajenga hivyo wakarudishiwa pesa zao, cha ajabu hakuna ujenzi wowote uliofanyika!
Swali langu, je serikali inasubiri mpaka watoto wasombwe na maji waje kuaga miili na makamera kama kawaida yao au? Hii ni aibu, mkoa wa Dar es salaam uko hivi, mkoani je? View attachment 2968612 View attachment 2968614
Bajeti za Mashangingi zipo na hazina mchakato wa longo longo,
Ila maswala kama hayo wapo kwenye mchakato miaka nenda miaka rudi hii ndio CCM na viongozi wake makatili na wajinga wajinga wasiokua na uchungu na shida za wananchi wao!
Shame!
Kwa serikali zetu haziwezi kufika kila eneo na MW is ho wanaoumia ni wananchi.
Hivyo ingeundwa Sera ya kuwaruhusu wananchi kujenga miundombinu katika local areas.
Mfano ukienda Temeke mwisho pale gereji kuna ma tope Sana na uchafu mwingi Ila in deep down lile eneo linaingiza pesa sana, so kwanini serikali isiandae mpango wa kuwshirikisha wale wamiliki Wa gereji na wafanya biashara ili kurekebisha hilo eneo.
Kwa huzuni kubwa leo naomba kwa mara nyingine niwakilishe kadhia wanayopitia wakazi wa Mbopo kata ya Mabepwande kufuatia ubovu wa miundombinu kwenye kata hii iliyo kwenye jimbo la kawe!
Tangu mvua ya December 2023 mpaka January 2024 iliyoharibu kabisa barabara na miundombinu katika kata hii, nasikitika kusema 90% ya athari hizi hazijarekebishwa!
Leo nimeshuhudia namna watoto/wanafunzi wanavovushwa kwenye moja ya bonde ambalo kiunga/daraja lake lilisombwa na maji mwezi Januari! Aisee ni huruma na hatari! Watoto hawa wanabebwa migongoni na kuvushwa na vijana wanaojitolea!
Hili eneo ni moja ya eneo korofi, ubovu wake unafahamika na ofisi ya mbunge wa kawe, meneja TARURA mkoa, na hata ofisi ya wizara ya ujenzi lakini cha ajabu hakuna hatua yeyote iliyochukuliwa!
Wananchi wa eneo hili wanadai walishawai kuchanga pesa ili kujenga karavati lakini wanadai mbunge alikuja akawambia serikali itajenga hivyo wakarudishiwa pesa zao, cha ajabu hakuna ujenzi wowote uliofanyika!
Swali langu, je serikali inasubiri mpaka watoto wasombwe na maji waje kuaga miili na makamera kama kawaida yao au? Hii ni aibu, mkoa wa Dar es salaam uko hivi, mkoani je? View attachment 2968612 View attachment 2968614