Wanazuoni nsaidieni, kwanini tanganyika ilipotea ktk muungano.

Noti mpya tz

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
974
Reaction score
245
Nini kilitokea Tanganyika ikapotea ktk ramani ya kitaifa na kimataifa kiasi cha kuzaliwa kile kinachoitwa Tanzania bara ilhali Zanzibar ikaimalika na kuwa na katiba yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…