Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Kwa nini wanga, wachawi na mizimu huwa kuonekana kwake ni usiku tu?
Kila nikisikia stori za haya mambo ni mtu alikuwa amelala usiku, usiku watu walikuwa wanapaa na ungo ndio likatokea jambo, usiku mtu alikuwa anaendesha gari.
Majini tu ndio huwa nasikia stori zake yakiwa yanafanya mambo yao mchana.
Kila nikisikia stori za haya mambo ni mtu alikuwa amelala usiku, usiku watu walikuwa wanapaa na ungo ndio likatokea jambo, usiku mtu alikuwa anaendesha gari.
Majini tu ndio huwa nasikia stori zake yakiwa yanafanya mambo yao mchana.