sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Tatizo jf ukisahau password kama umebadili simu lazima uonje joto la jiwe naisi lililo mkumba lilinikumba piaYupo nchi zile zenye quarantine akirudi hapa atagawa mkoko kwa kila wanaJF. Sasa hivi yupo katika pursuit of spiritual fulfilment ndio maana hata kupost hapost akirudi one of his mission ni kugive back to the community.
Kuna Daktari wa Meno na bifu lake lisiloisha na anko wake, nae kitambo sana.Tatizo jf ukisahau password kama umebadili simu lazima uonje joto la jiwe naisi lililo mkumba lilinikumba pia
Hahahaha jf kuna watu wanayo majina ya ajabu eti kiatu cha samaki
Ndiyomaana sinaga mitandao ya kijamii ya kipumbavu zaidi ya JF, WhatsApp na Goal.com maana huwa naburudika sana JF.Hahahaha jf kuna watu wanayo majina ya ajabu eti kiatu cha samaki
Huyu atakuwa ndo aliyebadilisha jina na kujiita Mbao za mawe
uyu nliona uzi wake kua alidanja nahisi "suicide" maeneo ya kusini uko... nlikutana na uzi unasema hivo,
Labda katekwa!Leo nimejikuta nimefululiza kusoma nyuzi tatu za Kiduku Lilo imekuwa ni bonge la kiburudisho kwa jinsi alivyojaliwa kipaji cha uandishi.
Je, alikerwa na nini hadi akaodoka.
Kama huna twiter ni bora utupe kule smartphoneNdiyomaana sinaga mitandao ya kijamii ya kipumbavu zaidi ya JF, WhatsApp na Goal.com maana huwa naburudika sana JF.
Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
sku ya moja hv kapost et "Naskia JF imeuzwa" mods walipita na huo uzi juu kwa juu na tangu sku hyo sjaona post yake tena!!!Leo nimejikuta nimefululiza kusoma nyuzi tatu za Kiduku Lilo imekuwa ni bonge la kiburudisho kwa jinsi alivyojaliwa kipaji cha uandishi.
Je, alikerwa na nini hadi akaodoka.
Kabisa! Mitandao bora ya kijamii mpaka sasa mimi naona na kuitumia yote daily ni JF, Twitter & Telegram...Kama huna twiter ni bora utupe kule smartphone