lordchimkwese
JF-Expert Member
- Nov 16, 2015
- 1,914
- 3,356
[emoji23][emoji23][emoji23]Kiduku Lilo yupo kwenye kutatua mambo makubwa na changamoto zinazoikabili dunia, anaumiza kichwa na mambo kama Covid, anasaidiaje Uchaguzi wetu, si mmesikia hatujakopa wala kupata ufadhili? Hayo mambo ndio Kiduku anasababisha yawezekane.
Pia Lockdown ilimkumba akiwa Canada hivyo anasubiri anga lifunguliwe aanze mizunguko na shughuli zake za kila siku.
Mara ya mwisho alikua kwenye mazungumzo ya kuinunua JF, sijui iliishia wapi.
Kuna Daktari wa Meno na bifu lake lisiloisha na anko wake, nae kitambo sana.
Sahani za mfupa!Huyu atakuwa ndo aliyebadilisha jina na kujiita Mbao za mawe
TusipangianeKama huna twiter ni bora utupe kule smartphone
Kumbe?Huyu atakuwa ndo aliyebadilisha jina na kujiita Mbao za mawe
Kweli? maana japo kufa ni lazima lakini wapo wengi sana waliozushiwa vifo Chifu.uyu nliona uzi wake kua alidanja nahisi "suicide" maeneo ya kusini uko... nlikutana na uzi unasema hivo,
So sasa hivi anajiita sahani za mfupa?Sahani za mfupa!
cc. Daktari wa Meno a.k.a Mtanesko
Duh isijekuwa mods walipita nae kama mwewe ccSergio5sku ya moja hv kapost et "Naskia JF imeuzwa" mods walipita na huo uzi juu kwa juu na tangu sku hyo sjaona post yake tena!!!
Sijafa nipo hai naendelea na majukumu yangu.Kweli? maana japo kufa ni lazima lakini wapo wengi sana waliozushiwa vifo Chifu.
Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
Hongera sana mzee baba kwa kujishughulisha na majukumu ya kimaisha, sema siku hizi umepotea sana ktk michango yako JF tofauti na ulivyokuwa ktk ID ya "Viatu vya samaki"Sijafa nipo hai naendelea na majukumu yangu.
hahaha alizingua sanasku ya moja hv kapost et "Naskia JF imeuzwa" mods walipita na huo uzi juu kwa juu na tangu sku hyo sjaona post yake tena!!!