Wangapi wametumbuliwa na kushitakiwa kutokana na Ripoti ya CAG 2022?

Wangapi wametumbuliwa na kushitakiwa kutokana na Ripoti ya CAG 2022?

tawakkul

Member
Joined
Oct 12, 2022
Posts
90
Reaction score
71
Habari wakuu,

Hii ripoti ilisababisha mvutano mkubwa na mpaka wanaojitambua kutaka kulazimisha bunge kuijadili kabla ya muda wake.

Hivi wale walichezea pesa zetu, kodi zetu kwa maslahi yao na familia zao wamechukuliwa hatua gani? Au ni siri na hatupaswi kufahamu?

Tuliambiwa tusubiri bunge la mwezi wa tisa, au kuna mwezi wa tisa wa kibunge zaidi ya huu tunaoufahamu?

Au tuamini kwamba wahusika walikwenda kwenye mambo ya Kiswahili na kutufunga midomo sisi wote? Au ndiyo bunge letu as usual (bunge dhaifu)?

Tumeshasahau jamni muda mfupi tu?
 
Ashitakiwe nani, hao ni KIMA na NGEDERE wanajuana. Wameshakubaliana kuitafuna nchi hii mpaka itoboke.
 
Habari wakuu,

Hii ripoti ilisababisha mvutano mkubwa na mpaka wanaojitambua kutaka kulazimisha bunge kuijadili kabla ya muda wake.

Hivi wale walichezea pesa zetu, kodi zetu kwa maslahi yao na familia zao wamechukuliwa hatua gani? Au ni siri na hatupaswi kufahamu?

Tuliambiwa tusubiri bunge la mwezi wa tisa, au kuna mwezi wa tisa wa kibunge zaidi ya huu tunaoufahamu?

Au tuamini kwamba wahusika walikwenda kwenye mambo ya Kiswahili na kutufunga midomo sisi wote? Au ndiyo bunge letu as usual (bunge dhaifu)?

Tumeshasahau jamni muda mfupi tu?
Nauliza report ya mwaka huu nayo imeenda wapi
 
Habari wakuu,

Hii ripoti ilisababisha mvutano mkubwa na mpaka wanaojitambua kutaka kulazimisha bunge kuijadili kabla ya muda wake.

Hivi wale walichezea pesa zetu, kodi zetu kwa maslahi yao na familia zao wamechukuliwa hatua gani? Au ni siri na hatupaswi kufahamu?

Tuliambiwa tusubiri bunge la mwezi wa tisa, au kuna mwezi wa tisa wa kibunge zaidi ya huu tunaoufahamu?

Au tuamini kwamba wahusika walikwenda kwenye mambo ya Kiswahili na kutufunga midomo sisi wote? Au ndiyo bunge letu as usual (bunge dhaifu)?

Tumeshasahau jamni muda mfupi tu?
Umesahau ule msemo wa miaka ilee, hawa watu hatuwezi kuwataja tukiwataja nchi itatikisika......
 
Habari wakuu,

Hii ripoti ilisababisha mvutano mkubwa na mpaka wanaojitambua kutaka kulazimisha bunge kuijadili kabla ya muda wake.

Hivi wale walichezea pesa zetu, kodi zetu kwa maslahi yao na familia zao wamechukuliwa hatua gani? Au ni siri na hatupaswi kufahamu?

Tuliambiwa tusubiri bunge la mwezi wa tisa, au kuna mwezi wa tisa wa kibunge zaidi ya huu tunaoufahamu?

Au tuamini kwamba wahusika walikwenda kwenye mambo ya Kiswahili na kutufunga midomo sisi wote? Au ndiyo bunge letu as usual (bunge dhaifu)?

Tumeshasahau jamni muda mfupi tu?
Rais wetu anajua nini anasimamia.

Kwa taarifa yenu atakayechukuliwa hatua ni yule atakayemchefua
 
Alijua namna ya kuaminisha watu na kweli watu walimuamini kwamba yeye alikuwa mtetezi wa wanyonge na amedhamiria kukomesha ufisadi kumbe lenyewe ndio kubwa la maadui.
Hamna uthibitisho kuhusu hilo mngekuwa nalo mngeshaenda kuchukua hizo hela.kwa hiyo kama hamna uthibitisho nyie ni wajinga na wazushi.
 
Back
Top Bottom