Perpendicular
JF-Expert Member
- Jul 5, 2015
- 1,494
- 1,183
Hahahaha kumbe nili approximate sana mkuu.Nying sana hyo unafunga kamba laki moja tu unambuluza hadi ghetto
ndio mkuuuHujaelewa mkuu,?
church ni sehem ya kufanya hvyo?Unakutana nae chachi nin?
Sana yaniHahahaha kumbe nili approximate sana mkuu.
Sehemu anapopatikana muke ya baba [kutoka mbinguni ,muke bora]church ni sehem ya kufanya hvyo?
Namaanisha kuchatindio mkuuu
aaargh alvyosema msaada wa simu ndo nikajua kuchati nikadhani vidole itakua na maana tofauti....poa mkuuNamaanisha kuchati
Hakunaga siku hizi ukiona nimekuita sehemu basi nishamaliza kwa smsKutongozwa kwa mdomo na barua ina raha yake bwana, rijali hawezi kukutongoza kwa sms ni dharau hiyo bhana.
Kama vipi muite mahali umueleze ya moyoni
true datSiku hizi ni kutongoza kwa Emoji tu
Mmoja kati ya 100 type yakoSimchukuliagi serious mtu anaenitongozea kwenye simu... Hua namuona ana tamaa tu na pili amekosa ustaarabu. Kama ananitongozea kwenye simu ata kuniacha anaweza niacha kwa meseji tu.!
Alafu madomo zege ndo wanapenda tongozea kwa njia ya simu. Mi nataka unamwaga mistari nakuona na nakusoma, ko kama yes au no unaipata hapohapo.
Mimi nimesahau kabisaWacha vidole viongee daaah technology imefanya tuwewavivu wakutongoza ana kwa ana
Wenyewe sikuhizi wanasema makavu live...Simchukuliagi serious mtu anaenitongozea kwenye simu... Hua namuona ana tamaa tu na pili amekosa ustaarabu. Kama ananitongozea kwenye simu ata kuniacha anaweza niacha kwa meseji tu.!
Alafu madomo zege ndo wanapenda tongozea kwa njia ya simu. Mi nataka unamwaga mistari nakuona na nakusoma, ko kama yes au no unaipata hapohapo.
[emoji23] [emoji23] Pana Ukweli hapa!!Endelea kutongoza kwa txt ila siku atakapo-screenshot pumba zako asambaze kwa watu unaowaheshimu ndo utaelewa kuwa wanawake si watu wa mchezomchezo..
Akili yake itakuwa imefika mwisho,na mpaka ajue hao watu si siku hyoEndelea kutongoza kwa txt ila siku atakapo-screenshot pumba zako asambaze kwa watu unaowaheshimu ndo utaelewa kuwa wanawake si watu wa mchezomchezo..