Wangapi wanakubaliana na hili?

afrodenzi

Platinum Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
18,150
Reaction score
9,255
watu wawili wanapendana sana .. nani wanandoa kwa muda wa miaka 6..
mama kagundua baba anatoka nje ya ndoa....
alichofanya alimshauri mmeo wawe na open Relationship....

Je jamani nataka kujua ni wangapi wangekubaliana na hili???

samahani kuhusu dini wao ni wale watu wanaojiita Free Spirit
 
Nasubiri Definition ya "Open Relationship" halafu nitachangia!
 
kama mwanamke ana mtindio wa ubongo labda, pia hujasema ni mtu wa dini gani, kwasababu pamoja na kwamba katika dini yangu mimi kuwa na wake wawili ni upungufu wa akili, kwa wengine kuwa na wake wanne ni bora zaidi.....so, sijui nisemeje?
 
watu wawili wanapendana sana .. nani wanandoa kwa muda wa miaka 6..
mama kagundua baba anatoka nje ya ndoa....
alichofanya alimshauri mmeo wawe na open Relationship....

Je jamani nataka kujua ni wangapi wangekubaliana na hili???

wao ni free spirit
 
An open relationship is a relationship in which the people involved agree that they want to be together, but in which romantic or sexual relationships with additional people are accepted, permitted or tolerated. To large degree this is a generalization of the concept of open marriage beyond matrimonial relationships.
 
mmhhhhhhhhhh. ntakuja kuchangia baada ya hii gongo ninayokunywa ikiisha...maana hii ni pasua kichwa.
 
Hii kitu ngumu sana unless makubaliano yenu yana kitu fulani ndani yake ila kwa mila zetu za hapa its too difficult to accept it
 

asante sana bibi kwa kufafanua...
 
ina maanisha wote wanaishi nyumba moja lakini wanaruhusiana kutoka nje ya ndoa yao kimapenzi....

Mh sasa na ile usemi wa mke moja mme moja vp? wanahatari hawa!
 

Da Pearls heri ya mwaka mpya!
 
Hii ni ngumu sana lazima kuna siku watanuniana kuona MALI yako inaliwa nawe unajua??!!
Kama wanapendana ni bora wakae chini waweke mambo sawa!!
Pia wakumbuke kuna Maradhi hiyo OPEN relationship ni mbaya!!!

 
Mh sasa na ile usemi wa mke moja mme moja vp? wanahatari hawa!

nadhani hawa wamegundua hayo manane watu hawayatilii manani enzi hizi...
sasa wenyewe wameamuaku kuweka wazi kila kitu kuliko kuibia ibia lol
 
nadhani hawa wamegundua hayo manane watu hawayatilii manani enzi hizi...
sasa wenyewe wameamuaku kuweka wazi kila kitu kuliko kuibia ibia lol

Wasije ingilia workers wa Ghasia na asiwasikie kabsa na murder wanazotaka kugawa
 
[/b]

i like that baba watoto...

kuna vitu vingine tunaona kwenye nchi nyingine wana practice wanaona ni sawa i think talking about open relationship kuna siku i was watching kipindi cha oprah winfrey show sasa jada pinkett na will smith wali claim kuwa they have open relationship swali langu la kwanza kujiuliza ilikuwa je hao watoto how do they cop with the fact that both mum and dad can have romantic or sexual relationship with additional people.

Dah!!1 hii kitu ngumu sana kwangu
 
Hii ni ngumu sana lazima kuna siku watanuniana kuona MALI yako inaliwa nawe unajua??!!
Kama wanapendana ni bora wakae chini waweke mambo sawa!!
Pia wakumbuke kuna Maradhi hiyo OPEN relationship ni mbaya!!!

hawa maisha yao ya ndo yalikuwa magumu sana
kwasababu baba alikuwa anatoka nje ya ndoa sana
sasa wameamua hii open relationship ndo solution maana hawataki divorce.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…