Wangapi wanakubaliana na hili?


Heri ya Mwaka Mpya Maj Gen. DC:

Kulikuwa na baa(grocery) moja Sinza inamilikiwa na familia - Waitress alikuwa ni mwanamke na Kaunta mwanaume - Mwanamke alikuwa anajiachia kwa wanywaji ili wamtongoze na yeye bila hiana wakimuomba anakubali.

Sharti lilikuwa moja kuwa wanafanya "short time" na ni eneo la karibu na hiyo grocery (palikuwa na uchochoro) - Mkishakubaliana mwanamke anatangulia halafu wewe unafuata - Sharti la pili ilikuwa ni kwamba lazima uvue nguo zote na zinatundikwa kwenye tawi la mti wa karibu - Ile mnaaza "romance" mwanaume anatokea na kukwapua zile nguo zako halafu anaanzisha zogo na kitendo bila kuchelewa mwanamke anakimbia - sasa inabaki kati yako na mwenye mke - Normally alikuwa "anapiga sachi" nguo zako na kuchukua chochote kilichokuwa kwenye "wallet" then anakurushia nguo na kukuamuru utoweke!

Waliwapata wengi kwa njia - that was Open-Closed Relationship
 
Hahahaha.... wewe bana wewe. Hawamaanishi hivyo. Yaani utamfumaniaje mtu mliye naye kwenye open releshenship? Ukimkuta (siyu kumfumania) unamwambie 'HEBU MALIZIENI HARAKA, NA MIMI NNA HAMU'

Mkuu naenda chekea nje kidogo...brb!
 
Babu mwenzangu naona mwaka huu umeuanza vibaya lol....naona kama unapiga jaramba la twaarab. Manake hayo maneno mi hoi!~

Mhh,

Kama mwaka wenu uko hivi basi mimi nitaomba voluntary ban hadi Dec 31 2011!
 
yaani Babu DC sijui tunaelekea wapi dunia hii sasa...

mambo ambayo yalikuwa magumu hata kusema majini..
sasa yanatendeka wazi wazi .....

Ni ulevi wa bangi tu ndo unawasumbua. Waache wachezee nyembe, ila wasije kukimbilia kwa babu kwani hatakuwa na msaada kwenye upuuzi kama huo.

Kwani kama wanaona ngoma nzito kwa nini wasibadilishe bega? Zamani wabeba mizigo ya lumbesa walitumia sana utaratibu huo!
 
Mhh,

Kama mwaka wenu uko hivi basi mimi nitaomba voluntary ban hadi Dec 31 2011!

Hahaha...angalia mods wa siku hizi hawachelewi kukupiga ban kiukweli. hawa wajukuu peke yangu watanishinda.
 

Hawa walikuwa na akili sana sana kuliko hawa vijana wetu wa ubongo wa fleva!

Kuna hata jamaa alimwachia mkewe kwa dirver wa truck ili wapate usafiri enzi hizo za kupanga foleni. Ila sina hakika kama hayo maumivu ya kumwona jamaa anachovya kwenye bakuli la baba mwenye nyumba yana tiba.

Mimi nadhani sitapona. Ndo maana mtu akiniita nikafumanie naanza kumshughulikia yeye!
 
Yaani ukimfumania kitandani kwenu unamuomba radhi kwa kumkatiza starehe sio?:redfaces::redfaces:

hahahahahah lol hii imenichekesha sana sina la kujibu lol
 
Hahaha...angalia mods wa siku hizi hawachelewi kukupiga ban kiukweli. hawa wajukuu peke yangu watanishinda.

Afadhali wewe unajua hata kuwakagua. Hivi mwaka huu utaendelea na hilo zoezi au umelikamilisha mwaka jana. Au utaanza kwenda kwa mgao kama TANESCO?
 

Hehehehe...skulimeti umeua mazima. Hiyo ukiiskwea inakuwa open skwead. Manake ukizubaa, demu anaweza kukupiga wani dei akapotea na jamaa akamgea mtambo bila kuvua nguo zote.
 
Afadhali wewe unajua hata kuwakagua. Hivi mwaka huu utaendelea na hilo zoezi au umelikamilisha mwaka jana. Au utaanza kwenda kwa mgao kama TANESCO?

Nimekoma kuwakagua bana. Kila nayemkagua nakuta tayari alishakaguliwa. Unakuwa haueleweki kama mkataba wa Dowans.
 
Nimekoma kuwakagua bana. Kila nayemkagua nakuta tayari alishakaguliwa. Unakuwa haueleweki kama mkataba wa Dowans.

Kama unatakafuta wa namna hiyo kwanini unawatafuta mahali ambapo hata wewe mwenyewe unajua hawapo? Ni sawa na kutafuta mbuzi mzima buchani??? Inawezekana kweli babu???
 
Mkuu inaonyesha hata huyo mama nayeye alikua ana cheat kwa mumewe kama kawa, na alipo mbaini mumewe akatumia lupo hiyo kuhalalisha ufisadi wao..
Kikubwa tunacho jifunza hapo ni kuwa hawa walioana tu kwasababu watu huwa wanaoana, hawakuoana kwasababu wanapendana
 
Kama unatakafuta wa namna hiyo kwanini unawatafuta mahali ambapo hata wewe mwenyewe unajua hawapo? Ni sawa na kutafuta mbuzi mzima buchani??? Inawezekana kweli babu???

Hahahaha...inaelekea wajukuu wetu hawa ni wanachama wa Open relationship lol
 

Huu ndio ubunifu !
 

labda ni kweli mama alikua anafanya hayo mambo lakini mimi hayo sijui...

lakini usema ukweli wanapendana sana ndo maana hawataki kuacha
na wanaipenda familia yao sana..
kwa hiyo huo uamuzi wa open relationship ndio waliona ni best option kwao...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…