Nasubir status yako
We unatakiwa upewe kitu mpaka ukimbie, huku umeshikilia kufuli mkononiOoh,Bora umerudi maana mleta mada Kasema nimpe Yeye eti wewe huna uwezo😔ni ya kweli hayo?🤔
Ndo mnavyotuchuna nyie 🤣🤣🤣Location, nauli, ya kutolea, tozo....I lavyu 😁
Chaguo ni lako kwani mke anasikilizwaOoh,Bora umerudi maana mleta mada Kasema nimpe Yeye eti wewe huna uwezo[emoji17]ni ya kweli hayo?[emoji848]
ndio ivyo mkuuNdivyo inavyotakiwa
Hamna hauchunwi sa mzigo utapelekwaje si lazima tozo tozo zihusikeNdo mnavyotuchuna nyie 🤣🤣🤣
Zigo lipoHamna hauchunwi sa mzigo utapelekwaje si lazima tozo tozo zihusike
Ipi Tena? Mi Leo nipo single Kwa kweli,nimekwazana na nimpendae Ivo tukipatana usingle umeishaNasubir status yako
Wanajichukulia sheria mkononi tu mamæ 🤣🤣🤣Hata hivyo wana chaputa washanunua kreeesoftiiii kwa ajili ya maangamizi
Dah hivi zigo ni kitu cha kukosa kweli????Zigo lipo
Mdomo utaniisha eti🤣🤣🤣We unatakiwa upewe kitu mpaka ukimbie, huku umeshikilia kufuli mkononi
Being single makes me feel better 🤣🤣🤣🤣 Elli naona hiyo mishangao🤸🤸🤸
Ndio ugonjwa wangu, Itabidi nikupe kiwanja changu cha urithiDah hivi zigo ni kitu cha kukosa kweli????
🤣🤣🤣🤣Being single makes me feel better 🤣
Tutakuwa tumeupunguza makaliMdomo utaniisha eti🤣🤣🤣
Yeye anakua anakusugua nini 🙄Nipo single hapa morena...ajitokeze mrembo tukasuguane jamani
Hii ndo Tozonia hakuna cha bure. Utamu tufaidi wote lakini bado wanaume tugharamie kila kitu dinner, vinywaji, na room na bado mnataka tuwaandae pale kwa bed. Nyieee viumbe shida tupu 😅😅🙌Hamna hauchunwi sa mzigo utapelekwaje si lazima tozo tozo zihusike