Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #81
Kuna jamaa mmoja alileta uzi humu; ukiwa maeneo hayo, chungulia kwa nje, ukiona wadada wanajipiga piga picha, juwa wako sokoni; ita mmoja kazi iendelee.Nipo single hapa morena...ajitokeze mrembo tukasuguane jamani
Anasugua mgongo wanguYeye anakua anakusugua nini π
Kwakweli wanaume tumeumbiwa mateso, hawa wanawake walaaniwe kudadeki zaoHii ndo Tozonia hakuna cha bure. Utamu tufaidi wote lakini bado wanaume tugharamie kila kitu dinner, vinywaji, na room na bado mnataka tuwaandae pale kwa bed. Nyieee viumbe shida tupu π π π
Raha ya kuwa singleMdomo utaniisha etiπ€£π€£π€£
Daaah! Wanaume tuna kaziKwakweli wanaume tumeumbiwa mateso, hawa wanawake walaaniwe kudadeki zao
Mawe kama yapo huwezi kukosa koneksheniTatizo connection.
Muongo huyo, labda anataka umuongezee dau; mwambie utafanya hivyo hivyoKuna mmoja tumeshapanga kila kitu wiki hii nzima kuwa leo tukutane kiwanja fulani then kugegedena. Saivi ananiambia anaumwa tumbo la bleed.
Kanikata kbs mood ya weekend
Njoo hapa, acha kuutesa mwiliKuwa single ndiyo mpango mzima
Toa location πIpi Tena? Mi Leo nipo single Kwa kweli,nimekwazana na nimpendae Ivo tukipatana usingle umeisha
Samahani Wakala, naweza kutoa ya moyoni?Ipi Tena? Mi Leo nipo single Kwa kweli,nimekwazana na nimpendae Ivo tukipatana usingle umeisha
Yaani hapa hata sielewi πMuongo huyo, labda anataka umuongezee dau; mwambie utafanya hivyo hivyo
Ni wasumbufu sana; huwa wanaleta mambo ya utotoYaani hapa hata sielewi π
Mambo ya kitoto kinyama mwanangu. Unajua mtu ushajiandaa halafu dk za mwisho unaletewa pigo hizo inakuwa dharau.Ni wasumbufu sana; huwa wanaleta mambo ya utoto
Wasumbufu kinyama. Kanikasirisha vibaya mno. Saivi naenda wapi sasa?Ni wasumbufu sana; huwa wanaleta mambo ya utoto
nenda escort, tenga laki 1Wasumbufu kinyama. Kanikasirisha vibaya mno. Saivi naenda wapi sasa?
π€£π€£π€£π€£ unachoongea kinaendana na ukweli unajua maana mimi na yeye tu mpaka asubuhi tungetumia zaidi ya laki.nenda escort, tenga laki 1
zama kule, ni hela yako tuπ€£π€£π€£π€£ unachoongea kinaendana na ukweli unajua maana mimi na yeye tu mpaka asubuhi tungetumia zaidi ya laki.