luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Wakenya na wana jumuiya wote habarini za mishemishe, nimekuwa nikifuatilia hii kesi kwa siku ya tatu sasa kwa wale msio tambua, kuna kifo cha binti mmoja kule Nairobi Kenya ambae ameuliwa na rafiki yake mara baada ya kugundua ana tembea na bwana wake.. binafsi kesi hii ili nifanya niingie gharama kidogo za kuweka mbs ili kupata story about it ila kuna jambo la kujifunza hapa kutokana na kisanga kilichotokea infact hawa mabinti majina yao yananichanganya ila najua kuna mary na judy judy is the one who murdered au sio wa KE ?