luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Habari kamili inasemaje?Hawa kina dada zetu na mama zetu saa zingine huwa siwaelewagi. Nani angeamini kwamba Judy Wangui angemuua mwenzake Mary Wambui na kutupa mwili wake kwenye dimbwi la maji kando ya barabara lisaa limoja baada ya kulishana nyama na kujivinjari pamoja?
Mwana kagonganisha Magari yameuanaa..[emoji23][emoji23][emoji23] Kuchepuka nako kunahitaji akili aiseee... Wife kauliwa na mchepukooKwa sakata yote hii nalaumu njemba lenyewe, ameingilia mchezo wa watu bila kuzingatia vigezo na masharti.
Kuchepuka kunahitaji ujanja na utumiaji wa akili, halafu hakikisha mchepuko wako anaelewa nafasi yake, asije kujichanganya wala hata siku moja, aelewe kwa vyovyote vile yeye ana mpaka wake na haruhusiwi kuvuka hadi kwenye kumi na nane za mkeo.
Huyu jamaa alitundika picha zake kwenye ukuta wa mchepuko wake, wapi umewahi kuskia upumbavu kama huo.
Ukianza kuonyesha mchepuko kwamba uhusiano wenu ni serious, tegemea majanga.Mwana kagonganisha Magari yameuanaa..[emoji23][emoji23][emoji23] Kuchepuka nako kunahitaji akili aiseee... Wife kauliwa na mchepukoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mnajua huyo Judy wangui alikuwa ni muajiriwa wa Mary wambui na mumewe Joseph Kori. Judy alikuwa anauza duka la hardware la Mary Wambui. Judy alimuua Mary,kwa akili zake naona alitaka awe mke kamili. Najiuliza kupangishiwa nyumba ya 60k kenyan shillings hakutosheka ???Au alitaka ahamishiwe kabisa kwenye kasri la Joseph Kori ?
Alimuuaje?na ilijulikana vipi yeye ndio muuwaji?Hivi mnajua huyo Judy wangui alikuwa ni muajiriwa wa Mary wambui na mumewe Joseph Kori. Judy alikuwa anauza duka la hardware la Mary Wambui. Judy alimuua Mary,kwa akili zake naona alitaka awe mke kamili. Najiuliza kupangishiwa nyumba ya 60k kenyan shillings hakutosheka ???Au alitaka ahamishiwe kabisa kwenye kasri la Joseph Kori ?
Wakikuyu na mali(pesa) ni damu damu ila kibaya wenyewe kwa wenyeweHivi mnajua huyo Judy wangui alikuwa ni muajiriwa wa Mary wambui na mumewe Joseph Kori. Judy alikuwa anauza duka la hardware la Mary Wambui. Judy alimuua Mary,kwa akili zake naona alitaka awe mke kamili. Najiuliza kupangishiwa nyumba ya 60k kenyan shillings hakutosheka ???Au alitaka ahamishiwe kabisa kwenye kasri la Joseph Kori ?
Mkuu umeongea Point sana aisee...[emoji1787][emoji1787][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Ukianza kuonyesha mchepuko kwamba uhusiano wenu ni serious, tegemea majanga.
Cctv camera zimeconferm na tax driver alieitwa na Judy ili amsadie kutoa mwili kwenye nyumba amesema. Kwanza Judy alienda kwa nyumbani kwa Mary,then wakaenda kula nyama choma baadae wakaenda kwa Judy. Inasemekana Kwa Judy kuna picha za Kori all over the wall. Mary alipoona alitaka maelezo,Judy alimpiga Mary na pressure cooker.Inasemekana mara 9.Halafu huyu Judy alimlazimisha msichana wake wa kazi asafishe damu iliyotapakaa ndani. Judy aliomba msaada wa driver anakokodigi magari ili wakautupe mwili kwenye bwawa. Which they did. Uchunguzi bado unaendelea na kesho kesi inatajwa tena.
Hapo ni wao kwa wao,Unaambiwa hata huyu mary kabla hajawa promoted kuwa wife nae pia alikuwaga mpango wa kando. Mke wa kwanza ni Grace. Joseph Kori alimuacha Grace for Mary. Malipo ni hapa hapa duniani.Wakikuyu na mali(pesa) ni damu damu ila kibaya wenyewe kwa wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Alitaka ndoa,alitamani Mary aachwe. Hivi unajua hata Mary before alikuwa ni mpango wa kando?Mary nae alimtoa Grace. Inavyoonekana Mary alikuwa si wakutoka ndo maana Judy akaamua kumkatisha maisha.Hakujua nafasi yake, mtu katolewa kwenye umaskini halafu akaanza kuzingua.
Daaaah aiseeCctv camera zimeconferm na tax driver alieitwa na Judy ili amsadie kutoa mwili kwenye nyumba amesema. Kwanza Judy alienda kwa nyumbani kwa Mary,then wakaenda kula nyama choma baadae wakaenda kwa Judy. Inasemekana Kwa Judy kuna picha za Kori all over the wall. Mary alipoona alitaka maelezo,Judy alimpiga Mary na pressure cooker.Inasemekana mara 9.Halafu huyu Judy alimlazimisha msichana wake wa kazi asafishe damu iliyotapakaa ndani. Judy aliomba msaada wa driver anakokodigi magari ili wakautupe mwili kwenye bwawa. Which they did. Uchunguzi bado unaendelea na kesho kesi inatajwa tena.
Dah!! Kweli malipo hapa hapa duniani mkuu,navuta picha Grace atakuwa anasherehekea kimya kimya.Hapo ni wao kwa wao,Unaambiwa hata huyu mary kabla hajawa promoted kuwa wife nae pia alikuwaga mpango wa kando. Mke wa kwanza ni Grace. Joseph Kori alimuacha Grace for Mary. Malipo ni hapa hapa duniani.
Nimeona u tube inasikitisha kweliMama Sabrina Jinsi ilivyojulikana ni mme wa Mary alipoona informations all over the social media ndo akawasha gari kwenda kwenye lile bwawa,polisi nao wakamkamata hapo hapo na wakamwambia ampigie Judy simu ili wakutane home land hotel,maana ni Hoteli ambayo Judy na Mary walionekana mchana wakiwa wote.
Jombaa blunder ya kwanza aliyofanya Kori ni kuchepuka na rafiki wa karibu wa mkewe. Ila Sielewi Wangui alikuwa na nia gani alipomkaribisha Wambui nyumbani kwake huku akifahamu vizuri kwamba picha za dume wa nyumba zote mbili zilikuwa zipo ukutani na kwamba Wambui angeziona.Hakujua nafasi yake, mtu katolewa kwenye umaskini halafu akaanza kuzingua.
Kwa sakata yote hii nalaumu njemba lenyewe, ameingilia mchezo wa watu bila kuzingatia vigezo na masharti.
Kuchepuka kunahitaji ujanja na utumiaji wa akili, halafu hakikisha mchepuko wako anaelewa nafasi yake, asije kujichanganya wala hata siku moja, aelewe kwa vyovyote vile yeye ana mpaka wake na haruhusiwi kuvuka hadi kwenye kumi na nane za mkeo.
Huyu jamaa alitundika picha zake kwenye ukuta wa mchepuko wake, wapi umewahi kuskia upumbavu kama huo.